itakiamo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 893
- 1,739
Usipoteze muda wako kumjibu Gentamycine, anapenda attention sana hako kajamaaHiyo kambi ni ya makazi ya askari, na hospitali ya jeshi, haina siri za kuficha kihiivyo.
Maana raia wanaruhusiwa hapo 24/7 kama wakazi wa katika nyumba za ndugu zao wanajeshi na pia kama wagonjwa hospitali, halafu kuna shule pia pale, kwahiyo sio sensitive kihivyo.