Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ulichelewa kujua mie kitambo mno Ni zaidi ya jua ama mpumbavu mkuu. Yaani mie Ni mjinga Mara trillion trillion bilioni na mabilioni.Katika wapumbavu utakuwa unaongoza, wachaga lini waliongoza taasisi ya Urais?
Majuha hawawezi ficha ujuha wao
Ushasikia kuna mtu kaandika kitabu kumtetea shetani? Kamayupo siyo maarufu pande hizi hatujamsikiaHabari kumhusu JPM zikiachiwa 'critics' wake kuziandika ni rahisi kumzushia uongo, ni vyema na 'Pro-JPM' nao waandika kitabu kujibu hoja za 'critics' wake.
Shambulia hoja yake siyo kumshambulia personally, utaonekana wewe ndio kahabaAlbert ngurumo!?,huyu kahaba aliyejifanya mkimbizi?!.
Usitusemee sisi siyo wajinga kama wewe tafadhali, sema anaishi mioyoni mwa sukumagangNani aliwaambia Watz wanahitaji au wanapenda kusoma vitabu,,, wanaume wazima wanashindana na Marehemu Mwanaume mwenzao,,,ubaya Au Uzuri wa Hayati Magufuli hachafuki kirahisi rahisi,,,Ana miaka miwili amepumzika zake lakini watu wanaweweseka vibaya mnoo,,,Wangefanya yao tuu waachane na Chifu kwa kuwa hata wafanye nini haibadilishi kitu jamaa alijua namna ya kuishi mioyoni mwa watz waliowengi licha ya mapungufu yake lakini ana Mema yake na mazuri yake Mengi mnoo!!!
Magufuli mwenyewe fisadi, kafisidi hela za walipa kodi kuendeleza alikozaliwaIzi ela wanazopewa na mafisadi watazikumbuka badae. Wanaangaika na Marehemu. Wakiugua wanakosa ela za matitabu Hawa ndio waandishi wetu. Badala kupigania ustawi wao , wanabaki kutumika. Muda utaongea
Magufuli mwenyewe fisadi, kafisidi hela za walipa kodi kuendeleza alikozaliwaIzi ela wanazopewa na mafisadi watazikumbuka badae. Wanaangaika na Marehemu. Wakiugua wanakosa ela za matitabu Hawa ndio waandishi wetu. Badala kupigania ustawi wao , wanabaki kutumika. Muda utaongea
Jikite kwenye hoja yao kwanzaHivi Kibanda alipata matatizo wakati JPM ni rahisi , unafiki unawasumbua
Hitler na Idi Amin na madikteta wenzake wamefariki na wanasemwa? Ana nini cha ziada alichonacho asisemwe kwa uovu wake?Hao waandishi wanatafuta hela labda na umaarufu. Kumsema mtu ambaye hawezi kujitetea nakosa lugha nzuri ya kuita kitendo hiko. Labda atokee mtu mwingine wa kuandika kitabu kwa yale mazuri aliyofanya JPM,ni fursa pia. Maiti asipoweza kujitetea walio hai wamsemee.
Hoja yao ni njaaJikite kwenye hoja yao kwanza
Hakubaliki kwa tafiti ipi? Sema hakubaliki kw sukumagangMambo ya uchaguzi ndio maana hata vyama vya upinzani vinashirikiana ili kupata kura nyingi ukichilia mbali na kuchukua watu kutoka ccm, mimi nazungumzia kilichopo mtaani Samia hakubaliki kama anavyokubaliki Jiwe, sasa hizo rekodi mlizoweka sawa ni rekodi mkuu?
Wew una ukata wa kichwani kama wewe.Hoja yao ni njaa
Ogopa sana Mwanamme mwenye njaa!
Yote yaandikwe, hata walio madarakani sasa wajue kuwa wataandikwa, tena yawezekana wakaandikwa wakiwa bado haiWapumbavu badala ya ku deal na wizi wa sasa wa CAG wako Bize na marehemu tu ,naona group la ngurumo na meena hapo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mavi yako yana harufu gani?Wew una ukata wa kichwani kama wewe.
Ogopa sana mwanamme mwenye ukata kichwani hata mavi atasifia kuwa yananukia
Kama yeye alieachukia watu na kuwaumiza waache watu watoe nyongo zao.Hakuna kitabu kikaandikwa ndani yake kikawa mavi matupu so hata magazine za porn huchapishwa zikiwa na uchafu ila zina targeted customer wake.Wacha tumsome madudu yake aliejifanya malaika huku akiumiza wenzake na kujiona Mungu mtu.Kiukweli nilitokea kumchukia sana hayati Magufuli hasa kwa mambo 'binafsi' hata kabla hajawa rais!
Ila pamoja na yote Magufuli alikua ana afadhali ukimlinganisha na Kikwete au Samia tuongee tu kwa kumtendea haki.
Ni nani hakupapendelea kwao nchi hii?
Nyerere na Mara? Nyerere na akina Butiku?
Mwinyi na Zanzibar/Mkuranga?
Mkapa na kusini?
JK?
Pili kuna haja gani ya kutumia rasilimali kubwa hivyo kuchapisha kitabu chenye maudhui yasiyo na msaada? Lengo ni kujifunza? Kama ni kujifunza si tunayo historia ya Gbadolite huko Zaire sasa DRC? Nani ana fadhili hayo na kwa maslahi gani?
Magufuli ni lost case kwa sasa haya hayatusaidii.
Mwisho tuwe makini sana na waandishi uchwara maana huu ni ulaji unatafutwa kwa mtu na ni njia ya kututoa kwenye reli.
Kama ya MagufuliWewe mavi yako yana harufu gani?
Ukichoka usiwasome, Hitler bado anasemwa, tunataka wengine waandike uovu wa shetani MagufuliIla wamemkamia mtu ambaye harudi Tena badala wa focus na future na mambo ya muhimu wao mara chato mara magufuli inachosha
Umeonyesha kiwango kikubwa cha pumbavu. PeriodWalinyamaza kimya wakati mwenyewe yuko hai. Jasiri ni wale waliopaza sauti akawasikia akasirika sana halafu wakapaza tena na tena.Wengine walifungwa,waliumizwa wakapewa kesi feki,wengine walinyang'anywa leseni zao za kazi za uwakili,Wengine biashara zao ziliharibiwa,wengine walidhurumiwa kwa nguvu kwenye uchaguzi n.k.Hao ni wazalendo wenye misimamo thabiti.Huwa nawadharau sana wale wanaompigaga risasi "nyati aliyekwisha kufa"
wakati hayo yanafanyika hao Waandishi wa habari walinyamaza kimya kabisa,vyombo vya habari vilinyamaza kimya kabisa.Wapo wachache sana wanaohesabika nawakumbuka waliopiga kelele.
Umeonyesha kiwango kikubwa cha pumbavu. Period
Mnashindana kwa kiwango cha upumbavu, yaani:Wapuuzi hao achana nao. Wanajitoa akili wakati ukweli wanaujua. Kwani mtu kujenga anapotokea kavunja katiba au sheria gani?
Kwamba angestaafu urais nae angeanza kumuimba rais aliyepo apeleke barabara, hospital, maji, umeme huko Chato.
Mi sina kupuuza. Maana ulikuwa rais hukufanya kwenu. Huo sio uzalendo ni uhanithi.