From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Katika wapumbavu utakuwa unaongoza, wachaga lini waliongoza taasisi ya Urais?
Majuha hawawezi ficha ujuha wao
Ulichelewa kujua mie kitambo mno Ni zaidi ya jua ama mpumbavu mkuu. Yaani mie Ni mjinga Mara trillion trillion bilioni na mabilioni.
Ama kama Kuna lingine umesahau ulizia marafiki,jamaa,ndugu,co workers yaani wote ama gugo ili uongezee Mana Naona Kama umenipendelea nahitaji zaidi ya mzigo ulionipa ama hiyo hadhi
 
Habari kumhusu JPM zikiachiwa 'critics' wake kuziandika ni rahisi kumzushia uongo, ni vyema na 'Pro-JPM' nao waandika kitabu kujibu hoja za 'critics' wake.
Ushasikia kuna mtu kaandika kitabu kumtetea shetani? Kamayupo siyo maarufu pande hizi hatujamsikia
 
Usitusemee sisi siyo wajinga kama wewe tafadhali, sema anaishi mioyoni mwa sukumagang
 
Izi ela wanazopewa na mafisadi watazikumbuka badae. Wanaangaika na Marehemu. Wakiugua wanakosa ela za matitabu Hawa ndio waandishi wetu. Badala kupigania ustawi wao , wanabaki kutumika. Muda utaongea
Magufuli mwenyewe fisadi, kafisidi hela za walipa kodi kuendeleza alikozaliwa
 
Izi ela wanazopewa na mafisadi watazikumbuka badae. Wanaangaika na Marehemu. Wakiugua wanakosa ela za matitabu Hawa ndio waandishi wetu. Badala kupigania ustawi wao , wanabaki kutumika. Muda utaongea
Magufuli mwenyewe fisadi, kafisidi hela za walipa kodi kuendeleza alikozaliwa
 
Hitler na Idi Amin na madikteta wenzake wamefariki na wanasemwa? Ana nini cha ziada alichonacho asisemwe kwa uovu wake?
 
Hakubaliki kwa tafiti ipi? Sema hakubaliki kw sukumagang
 
Kama yeye alieachukia watu na kuwaumiza waache watu watoe nyongo zao.Hakuna kitabu kikaandikwa ndani yake kikawa mavi matupu so hata magazine za porn huchapishwa zikiwa na uchafu ila zina targeted customer wake.Wacha tumsome madudu yake aliejifanya malaika huku akiumiza wenzake na kujiona Mungu mtu.
JPM mimi simpendi sitakuja kumpenda no worst president katika mlolongo wa marais waliowahi kuhudumu hapa JMT.
 
Ila wamemkamia mtu ambaye harudi Tena badala wa focus na future na mambo ya muhimu wao mara chato mara magufuli inachosha
Ukichoka usiwasome, Hitler bado anasemwa, tunataka wengine waandike uovu wa shetani Magufuli
 
Umeonyesha kiwango kikubwa cha pumbavu. Period
 
Mnashindana kwa kiwango cha upumbavu, yaani:
Kuchukua pesa za nchi bila kupitishwa na bunge siyo kosa?
Kuipa kampuni tenda kubwa bila kutangaza tenda na kuishindanisha siyo kosa?
Kupeleka miradi kwa upendeleo nyumbani kwako ni kuacha sehemu yenye shida siyo kosa?
Mnatumia kiungo gani kufikiria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…