Unazungumzia ID hii inayokujibu hapa?Cookie ana stress za Simba
SawaSorry, Heading itakuwa inakuwa inarekebishwa on time kadri matokeo yakiwa yanabadilika
Tumia Report Option kwenye Post husika ili MODS wazipitie hizo PostsNa hakuna namna yeyote unaweza fanya kuwadhibiti hawa mashabiki wa Yanga wanao spoil uzi kwa kuleta mada ambazo hazihusiani na mechi inayoendelea?