Una maanisha nini unavyosema Jihad?
Timu ishapata goli la kuongoza unataka Jihad ili upate nini?
Hapo ch
Una maanisha nini unavyosema Jihad?
Timu ishapata goli la kuongoza unataka Jihad ili upate nini?
Hapo cha msingi ni kushikilia bomba tu
Speed ya Simba leo cjui wameitoa wapi n balaaaaa
Sasa mbona nyinyi mlishindwa kumtumia yule kibonde HILAL? Maana tunajua mmewekeza pesa nyingi kuliko wao, halafu team yao ni dhaifu tu na wachezaji wake bado wanajitafuta, ukizingatia hakuna team yoyote inayoweza kuwasumbua ukanda wa CECAFA....Good for you ,ukipata kibonde kitumie.
Hii logo vipi?
Utapigwa mawe mrembo🤣🤣2-1 Friends of Agosto tujuane 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tutajilaumu hatutaki mambo ya janaTumekosa nafasi ya wazi kabisa
Sure sio kama kibudee kibudenga angekua anatulia ana mashuti makali mashuti ya uhakika sema ndo anapaishaMagoli yake mengi huwa sio ya bahati, unaona kabisa anatuliza ball bila kitete anageuza mchezaji akijileta kipumbavu kisha anaangalia pa kupeleka mpira, magoli yake yote sio mashiti ila huwa anawapeleka mbali kabisa ambako kipa hafiki.
Kwa waliowahi kucheza ball, magoli ambayo mfungaji anapiga kashuti kadogo halafu kaingie golini huku mnakatazama bila uwezo wakufanya lolote, huwa yanauma sana kuliko mashuti.
Yeah niliskia kuwa Angola ni wazuri kwa kwaitoYani kuna mkaka hapo wa agosto anacheza balaaaa
Presha iko juu ee🤣Yani kuna mkaka hapo wa agosto anacheza balaaaa
Tumpe mudaKibu D ni mzigo kwa kikosi cha leo
MnoooooPresha iko juu ee🤣
Inahitajika Sub ya haraka sana kiindi cha piliKibu D ni mzigo kwa kikosi cha leo
Wewe ni mwanga tu.Simba lunyasi ingawa mtapigwa 2. Kwa 1 ila mnaupiga mwingi wanna lunyasi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Asante sanaWa Tz poleni sana Na Lile Papatu Papatu La Jana..!
Mtuwie radhi ..!
Karibuni kumwagilia kuupoza Moyo Kwa Burudani Ya Wana Lunyasi S.S.C.!
Kuna wachezaji hata akipata injury unafurahiKibu atoke aingie