Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Waweke hadi mama zao ikiwezekana, Yanga kipindi cha Pili wanaoamini majini Leo ndio watayaona live.Usiwe na wasiwasi ,weka nyumba ,weka mademu zako wote ,mwarabu hatoki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waweke hadi mama zao ikiwezekana, Yanga kipindi cha Pili wanaoamini majini Leo ndio watayaona live.Usiwe na wasiwasi ,weka nyumba ,weka mademu zako wote ,mwarabu hatoki.
Hata ukiingia na wewe safi kabisaTutamwingiza Fred na Jobe watufungie magoli
Nyie subirini mtobolewe mkae kimyaMpira magoli
Yaani 'Tajiri' akalie kuti kavu....?Baada ya Game.
Tusipoingia Robo, atatusoma yule jamaa.
Anaongeaje kutununua kirahisi rahisi hivyo?
Yale yale ya Mayele.. Pacome akitoka tu yanga hakuna kitu ataenda kufanya huko njeMimi nimejikuta nashika kichwa baada ya kipa kuzuia.
Aende tu anastahili kucheza kwenye timu bora zaidi ya yanga ila viongozi waseti dau zuri.
Hatoki wapi au unadhani uwanja wenu wa majini huoUsiwe na wasiwasi ,weka nyumba ,weka mademu zako wote ,mwarabu hatoki.
Tupo, tunapata burudani kutoka kwa kina pacome na baccaWana yanga jitokezeni msisubiri kushinda
Sasa kama kainunua simba wewe unaumia nini na mwiko wako nyuma? Viazi wengneMwamedi kainunuwa Simba 5 years ago, wewe unachambia hamira Tu jinga kabisa.
Wapi Tate MkuuTupo, tunapata burudani kutoka kwa kina pacome na bacca
Hatoki wapi au unadhani uwanja wenu wa majini huo
Usikimbie tu humu na mwiko wako nyumaWaweke hadi mama zao ikiwezekana, Yanga kipindi cha Pili wanaoamini majini Leo ndio watayaona live.
Wako nyumbani na sisi kwa namna tunavyocheza naona kabisa mpango wa Gamondi ni sare, ikipatikana nafasi ndio wafunge.Ila wanaubonda sana leo
Sawa fungeni goli nizungushe ngano mezani panguTunatwanga mwarabu kote kote.