Zura
Member
- Jun 13, 2021
- 57
- 64
Ndio kazi Yao haoMsione pametulia humu bali Makolo kindaki ndaki yapo mafichoni yanasubiri Yanga apigwe waje kukinukisha humu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kazi Yao haoMsione pametulia humu bali Makolo kindaki ndaki yapo mafichoni yanasubiri Yanga apigwe waje kukinukisha humu..
Mimi nimejikuta nashika kichwa baada ya kipa kuzuia.Nilisimama kabisa, nakosa maneno ya kuelezea vizuri.
Ni dhahiri sasa, Pacome kubaki Jangwani ni ndoto za mchana.
Basi fungeni nimle kanji hapaBampa to bampaa 💚💚💪💪💪💪💪
Atafungwa tu, hakuna namnaVipi utopolo hajafungwa?
Duuh hii nchi imepinda sana.Umeme wamekata huku
Ila wanaubonda sana leoHawa Ahly kumbe ndio maana wameshuka viwango, maveterani kibao!
Tutamwingiza Fred na Jobe watufungie magoliBasi fungeni nimle kanji hapa
Niko 50/50 mfungwe ft au mfunge walau goli moja
Mpira magoliIla wanaubonda sana leo
Umeonaeeeeee..Hawa Ahly kumbe ndio maana wameshuka viwango, maveterani kibao!
Basi fungeni nimle kanji hapa
Niko 50/50 mfungwe ft au mfunge walau goli moja
Mwamedi kainunuwa Simba 5 years ago, wewe unachambia hamira Tu jinga kabisa.Vipi utopolo hajafungwa?
Baada ya Game.Huyu tutamjadili kesho
Wacha weeNdio kazi Yao hao
Mo anakera kwa kweli.Mwamedi kainunuwa Simba 5 years ago, wewe unachambia hamira Tu jinga kabisa.