permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Kawanunua kama mafungu ya viazi.Baada ya Game.
Tusipoingia Robo, atatusoma yule jamaa.
Anaongeaje kutununua kirahisi rahisi hivyo?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawanunua kama mafungu ya viazi.Baada ya Game.
Tusipoingia Robo, atatusoma yule jamaa.
Anaongeaje kutununua kirahisi rahisi hivyo?
Kwani hatujawahi kumfunga?yanga hii ndio nafasi pekee kumfunga ahly ikitoka hii futeni kichwani huo mpango nawaelezeni
Hatari sana,kama hapo ndio wamewasha JNHEP ninepoteza matumainiTanesco ni janga
Utamtupia jini?Yale yale ya Mayele.. Pacome akitoka tu yanga hakuna kitu ataenda kufanya huko nje
Mtamfanya nini na nyie kama nani?Mo anakera kwa kweli.
Ni swala la Muda tu.
Simba ni kubwa kuliko yeye.
Ngoja game ya kesho iishe salama
Umesema?Usikimbie tu humu na mwiko wako nyuma
Kaburu hana kitu kwenye usajili na Mo pia anahusikaMO umeuona usajiri wa uhakika wa Yanga?
Teua mtu mmoja awe anasajiri kama Hersi Saidi.
Kamati yako ya Usajiri inakupiga na unabaki kupata hasara tu.
Kanuru anaiweza hiyo kazi
Simba inapendwa sana duniani na ikicheza kama Yanga utapata faida nzuri tu.
Mpe kazi ya Usajiri Kaburu.
Sikia mawazo yangu dogo MO Dewji.
Utarusha hasara yako.
Hebu uliza Fredi alikujaje Simba.
Asikimbie na MWIKO wake nyumaUmesema?
Narudia Simba ni kubwa kuliko Mo.Mtamfanya nini na nyie kama nani?
Aombe Mungu kesho tushinde
Kabisa aisee mwamba ni fundii sanaNilisimama kabisa, nakosa maneno ya kuelezea vizuri.
Ni dhahiri sasa, Pacome kubaki Jangwani ni ndoto za mchana.
huu ndio wakati pekee kumfunga zaidi ya goli mojaKwani hatujawahi kumfunga?
Wewe ndio unasema, sisi tukishauza hilo la kucheza au kutocheza alituhusu.Yale yale ya Mayele.. Pacome akitoka tu yanga hakuna kitu ataenda kufanya huko nje
Na kama hawa mashabiki wa timu ya Mwamedi kama Wana akili hata za kuvukia Tu barabara ingawa najuwa hawana, basi Leo wakae kimya, tena kitako Kwa kutulia.Msione pametulia humu bali Makolo kindaki ndaki yapo mafichoni yanasubiri Yanga apigwe waje kukinukisha humu..