PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Kama nyinyi SIMBA tuliwafunga 5-1, iweje Ahly? Sema zinakutana timu bingwa kweli sio nyinyi mulioshika nafasi za pili kwenye ligi zenu. Alafu kumbuka hujafuzu"Al Ahly ni kibonde wetu tutampiga mkono wa nyani.." alisikika mlevi mmoja akibwabwaja baada ya kumaliza chupa ya 7 ya banana wine huku Kibororoni ๐๐