FT: Al Ahly 1-0 Young Africans | CAF CL | Cairo International Stadium | 01.03.2024

FT: Al Ahly 1-0 Young Africans | CAF CL | Cairo International Stadium | 01.03.2024

KWANZA ILE TIMU HAIWAHUSU MNAJIPENDEKEZA TU.

MUACHENI MO DEWJ AFANYE ANAVYOTAKA [emoji41]
Kuna watu wapo Kibaigwa na wengine wapo Tarime Ila huwaambii kitu kuhusu Arsenal utadhani wao ndio wamiliki wa hiyo timu😂😂


Sasa basi......... 😂😂
Kuna wajinga bongo wapo wapo kila pahali wanaamini kuwa Yanga ni timu ya wananchi Ila kila timu inapohitaji pesa hukimbilia kwa GSM kuomba hela, na hivi sasa wapo katika mchakato wa kupata hela za kujenga kiwanja Ila wanasubiri yule msela GSM dole kwanza.

Nikwambie kitu we babu.... ".. Hakuna timu inayofanya vizuri duniani pasipo kumilikiwa na mtu mwenye hela.

Kwa kukusaidia tu uondokane na uzuzu ni kwamba Simba inamilikiwa na mtu mwenye hela, hali kadhalika Yanga nayo inamilikiwa 😂😂😂

MO na GSM ni pipa na mfuniko, tulia utafute hela na wewe umiliki timu yako.
 
Baada ya miaka 54 hatimaye tumetinga robo champions league
 
Mungu wewe ni mwema nakuomba Mungu hawa utopolo wapigwe goli nyingi..... Hakika umesikia kilio changu....
 
🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰

🏆 #CAFCL
⚽️ Al Ahly🆚Young Africans
📆 01.03.2024
🏟 AI salaam stadium
🕖 1:00 Usiku

Karibu katika mechi ya sita na ya mwisho ya makundi ligi ya mabingwa Africa ungana nami katika Uzi huu kwa update za mechi hii
Kila la kheri Yanga SC
Kila la heri Yanga, najua mtafungwa ila nawaombea
 
Hatutaki maombi yako yetu yanatosha ombea timu yako ambayo haijafuzu mpaka sasa ishinde kesho
Kumbe tunacheza Kesho?! Mchungaji Mashimo anasemaje? Nchi Kwanza, Yanga nawatakia kila la heri Leo baada ya hapo ni usiku wa VITASA. Tunaangalia ngumi
 
Me nimeziona mbili mbili bila.
Mpiga simu akipigilia msumari wa mwisho.
Vipi wewe mwananchi mwenzangu umeziona ngapi?
 
STARTING XI
Screenshot_20240301_180641_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom