OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sorry nilimaanisha Al HilalYanga mnashindwa wapi kumaliza mechi?
Sasa ulivyosema niweke akiba ya maneno ulikua hujaelewa namaanisha nini? Au ndo macho yameshavimba tayariTunapiga come back ya kufa mtu mopira dk 90
Hebu tusubiri dk 90Heeeee ww Simba sio level zenu huyo alhal hapiti kwetu huyo. Nyie pambaneni bdala ya kusema simba wamepangiwa vibonde mnpoteza muda
Hakuna namna ingine dearTucheke tuuu best hahaaaa
Huwa hawajiweziHalafu hatuwaoni kwenye uzi wao...
Sijui wamejificha wapi?
Katisha Mgunda wetu,hana bayaa baba wa watuHongereni naona pepe mnene kafanya kweli sasa mpeni mshahara mnono, mil25 itaoendeza.
financial services atakuwa amezima tv huko alipo π€£π€£π€£π€£
ππππππAlhaaa Alahhh alhaaaa alhhhh lalalalaaaa
Nasikiliza kwa kiarabu kwny kiredio hapa full shangwe yaaniii
Wacha bana ahahahahaDjuma shabani anajaza mtungi paleeeeee unakuwa nini.......gooooooooooooooooooooo........ni yule yule Fiston kalala Mayele anatetema nyuma ya bukta za Al hilal anawaandikia wananchi bao la kuongoza ni dakika ya 14 kipindi Cha kwanza.
Poleni sana.ma.ma.e nabi na azizi ki wasirudi dar wabaki huko huko somalia sjui sudan.. raisi wa gsm hatukutaki umejaza chawa kibao ofisini ..timu yetu inaninvest kwenye media badala ya kucheza mpira wa malengo. foolish.. kuharibiana siku tu..
Kwani mkuu azizi ki amecheza leoma.ma.e nabi na azizi ki wasirudi dar wabaki huko huko somalia sjui sudan.. raisi wa gsm hatukutaki umejaza chawa kibao ofisini ..timu yetu inaninvest kwenye media badala ya kucheza mpira wa malengo. foolish.. kuharibiana siku tu..
Sitaki utani na weweππ niacheeeHongereni naona pepe mnene kafanya kweli sasa mpeni mshahara mnono, mil25 itaoendeza.
financial services atakuwa amezima tv huko alipo π€£π€£π€£π€£