Hana mbinu kwenye game za kimataifa huyo, huko Sudan kibarua chake kilioteshwa nyasi na Simba Sc ndo akaibukia Yanga Sc.Kwani nabi si profesoli sasa anakwama wapi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo wameingia kwenye pattern za waarabu
Swala la Yanga ku press ni mbinu ya mpinxani na ndio maana wanakuwa hawana madhara hata wakimiliki mpira
Mpaka halftime naamini watakuwa wame press pad zote mpaka vidole viote sugu na hata on target wanaweza wasipate wakifanya masihara
Ngoma ya watoto haikeshiYanga mnashindwa wapi kumaliza mechi?
InshaallahYanga anashinda kipindi cha pili na kuvuka kuenda shirikisho.....
[emoji1787][emoji1787] Hizo kazi ndio zetu auntie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja sisi tuwasaidie Auntie
Huyu wakimuacha kwenye hii kazi, inatakiwa tumfukuzishe tena tarehe 23 kama jinsi tulivyomfukuzisha huko Merreikh.Nabi hatulii pale benchi
Watapata bao34' Hilal 1-0 Yanga
Yanga wanaupiga hapa
anacheza leo. katucost pesa nyingi mchango wake kwenye timu hatuini tangu mechi ya kwanza na al hilal ya home ShunieKwani mkuu azizi ki amecheza leo
Hamna timu pale kuna majina tu, labda wasubiri yale mashuti ya Feisal Salum ndio muokozi waoKwani nabi si profesoli sasa anakwama wapi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ebu niacheeee 😏😏😏😏[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aloooooooo!!!Mbona ghafla sana?
Upo sawa madamHuwa hawajiwezi