FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika


Timu za Waarabu mara nyingi ukiwakosa nyumbani kwako kuwafunga huwa ni ngumu sana kuwafunga kwao! Hiyo ni jadi yao!
 
Halafu inavyoonekana Nabi sio mzuri kwenye kuzikabili changamoto ukimtoa kwenye reli anapanic kwa haraka mno .............atulieeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…