FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

Mayele ni ms3nge

Toa pasi we unataka ufunge
 
ma.ma.e nabi na azizi ki wasirudi dar wabaki huko huko somalia sjui sudan.. raisi wa gsm hatukutaki umejaza chawa kibao ofisini ..timu yetu inaninvest kwenye media badala ya kucheza mpira wa malengo. foolish.. kuharibiana siku tu..
Kweli mmeinvest EFM na radio stations nyingine kibao, bado kwenye magazeti ya michezo ndio mnaupiga mwingi balaa...
 
38 'الهلال 1-0 يانجا أفريكان
 
Likifungwa goli la mbili naenda kulala mazima ila kwa sasa matumaini yapo ..
Sema kwa saizi naona mnashambulia

Ila Mayele anaweza kuwakosesha ushindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…