FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Daaaah yaani nimetoka kununua bundle la 25k azam nicheki game kumbe tbc kitonga aisee, pesa yangu daaah!
 
Pitch ya kiwango cha AFCON, inaruhusu boli kutembea.

Ebwana sijaiangalia Simba toka Mapinduzi Cup, kuna matumaini ya ushindi leo?
 
Kikosi cha Asec
20240223_211803.jpg
 
Wachambuzi wenye weledi Tanzania ambao kamwe huwezi jua wanaegemea upande gani ni ambangile na mbwaduke.
 
Team ya wahuni. Wamekusanyana wakapachikwa kwenye team inaitwa Simba Sports Club.

Hamna kitu mkusanyiko wa watu wanaomtajirisha try again naangungo wa msovero.

Wanapigwa. Mungu akiwaonea huruma draw. Kushinda hakupo. Piga ua. Hakupo. SIMBA WAKISHINDA NIPIGWE BAN YA WEEK NZIMA. NAJUA HAITOTOKEA WAKASHINDA HAWA VILAZA.
 
Niseme nini vipenzi vyangu zaidi ya kuwatakia kila la heri...hakika robo fainali tunaenda...
Amina....
Simba Nguvu moja
[emoji3590] [emoji3590] [emoji3590] [emoji3590] 🤍🤍🤍🤍🤍🤍🤍🤍
Na iwe hivyoooo [emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom