FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Admin wa zamu shuaini zake😂😂😂💃💃💃💃💃

#ban ileeeeeeee
#uwiiimkinipigabanmmenioneaaaa
Haipo hivyo.
Leo uzi umeenda Live One hour before.
Admin wa zamu ni Simba...

#nguvumoja#
 
Nyie mods waonevu sana. Nyuzi za yanga hadi afutaimu hamna hata badge ya laivu wala updates za matokeo ila kwa makoloooooo hata akina manula hawajavaaa jezi tayari mshaenda hewaniii
 
Kuangalia mpira kupitia TBC unaweza hisi Kuna mvua kubwa inanyesha uwanjani kumbe ndio HD hivyo
Acha kukariri mkuu kisa tuu n TBC, mechi za kombe la dunia na AFCON zote zilikuwa HD.

Hii n kawaida yetu Wabongo kulalamikia kitu ht kama hukijui kinafanya vp kazi.

Kuna SD (standard definition) na HD (high definition) zote Hizi ni za kulipia hvy Tv husika inaamua ilipie ya kiwango kipi.
 
Asec 5
Simba 0
😅😅😅😅🙏🙏
 
Jezi za simba kama sare za watoto wa chekechea mbunifu ni mwalimu wa day care?
 
Ee Mungu tunaomba tusifadhaike mioyoni mwetu, tunaiamini Asec tunakuamini na wewe, tunaomba Ndunduka afe.
 
Benchika inatakiwa awape nafasi young promising players kama kina chasambi na karabaka
 
Back
Top Bottom