Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waulize wadau wakujib kama ni HD au lah maana unaleta ubishiAngalia tena
Hakuna HD hapoAcha kukariri mkuu kisa tuu n TBC, mechi za kombe la dunia na AFCON zote zilikuwa HD.
Hii n kawaida yetu Wabongo kulalamikia kitu ht kama hukijui kinafanya vp kazi.
Kuna SD (standard definition) na HD (high definition) zote Hizi ni za kulipia hvy Tv husika inaamua ilipie ya kiwango kipi.
LivefootbalUkiachana na azam max amayefaham app nyingine anitonye nichek game
Mwenzetu mechi unafatilia kupitia chaneli ipi? Au Sinema zetuDuh mnapelekewa moto😂🤣😂
SawaHakuna HD hapo
Biashara ndio ni ujanja, anyway niambie hapa TZ ni broadcaster yupi anaweza kufanya ligiAzam mjanja ndio maana aliingia mkataba wa miaka 8. Ina maana mtu hakuna broadcaster ataingilia hapa kati.
Azam max hapa naona mnapelekewa motoMwenzetu mechi unafatilia kupitia chaneli ipi? Au Sinema zetu