Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kabisa wasiogopeSimba watulie na wafanye mambo kwa usahihi, wanaweza kupata kitu cha faida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa wasiogopeSimba watulie na wafanye mambo kwa usahihi, wanaweza kupata kitu cha faida.
Simba watulie na wafanye mambo kwa usahihi, wanaweza kupata kitu cha faida.
Kama Luck AyemelIla hawa jamaa rage alikuwa sahihi View attachment 2913932
Hiyo kutulia ndio kitu kigumu kwao. Imagine,beki zote mnaenda kucheza dead ball huku wakijua hawana mbio za kuzuia counter attack. MfyuuSimba watulie na wafanye mambo kwa usahihi, wanaweza kupata kitu cha faida.
Kwanini?Mguu wa kulia wa Manula una shida?
Mtazijutia kwenye dakika za jioooooni.Hizi nafas tunazokosa sahivi, tutajutiaa baadae wallah.
WanabalaaHawa Asec wanafanya mashambuliziii kwa kushtukiza, na wako vizuriiiii ktk hilo.
Fuatilia utagundua kituKwanini?
Yaan match ya leo, simba wasituangushe mashabiki.Hiyo kutulia ndio kitu kigumu kwao. Imagine,beki zote mnaenda kucheza dead ball huku wakijua hawana mbio za kuzuia counter attack. Mfyuu
Cool down🤣ngoma bado mbichi
Punguza puresha mkuu...Cool down🤣ngoma bado mbichi