FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Leo mida ya saa 4.00 usiku kutakuwa na mtanange kati ya timu yetu ya simba dhidi ya asec Mimosas.

Huku tulipo Mwanza maeneo ya Mahina, Mwananchi, huwa umeme unakatwa mida hiyo.

Tunawaomba sana Shirika letu la Tanesco kuwa kwa leo msikate umeme ili tushuhudie mtanange huo ambao ni muhimu sana kwa sisi wapenzi wa Klabu ya Simba.
Mmetukumbusha wacha tukate
 
Mashambulizi ya Asec yanashtua sana.
Wanataka kutufunga ili wapate faida gani??
 
Cjui kwa nn SIMBA huwa wakimbiii ile ya kuvuja jasho...
Ni rahisi kiungo na defence ya mpinzani kujipanga..
 
Back
Top Bottom