FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Simba tambeni hii game mnashinda amini hilo nipo pale
 
Putin Leo mbona km anaibana team? Anajisahau vipi paleee, aaaah
 
Hii game wachezaji wa Simba wanaleta uvivu. Hawataki kuwa active mchezoni na makosa ya kizembe yatatugjarimu.
 
Nimejiandaa kisaikolojia. Hatuna wachezaji wa kutupa maajabu. Hawa jamaa wana Kasi,na sisi goigoi tupigwa kadi hadi tushangae
Yaan sisi hata wachezaji wakiwa ktk 18, bado wanakua wachovuu tyuuh. Yaan inakeraaa aaah
 
Simba hivi viatu wanavyopiga, kuna mtu atapata red, au itazaa tukio la kusababisha bao, si watulie na wacheze kwa utulivu na umakini.
 
Back
Top Bottom