DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Asec Mimosas wameyakanyaga.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahicho kichwachako emty set ukipata bleach siutawehuka kabisa bibie?Kila la kheri watani, nyie peperusheni bendera kwanza wakati sisi tunajiandaa kwa bleach za Pacome Day.
Angalia mechi ya Al Ahly halafu uone hiyo HDTVE ni HD ilyochangamka
Part time jobaisee . kwa hiyo TBC wana ruhusu mtangazaji wao ana enda kutangaza kituo kingine
Startimes wakiweza kuwapindua Azam ligi ya NBC natupa king'amuzi cha AzamHalafu ni kama vile TBC1 kwa kushirikiana na mshirika wake Startimes dawa imewaingia vizuri na kwa sasa hawataki utani, wameamua kupambana na Azam mpaka kieleweke ili nao wapate wateja.
Inasemekana pia Startimes anapambana aoneshe NBCPL!
Unahitaji kuelimishwa tofauti ya Chombo cha habari cha Umma v Chombo cha Habari cha serikali?Kuna tofauti kati ya Muddy na Mohammed?
Wana zaidi ya billion 200 ambazo Azam kawekeza kwaajili ya NbcStartimes wakiweza kuwapindua Azam ligi ya NBC natupa king'amuzi cha Azam
Sent using Jamii Forums mobile app
NBCPL bado sana kuonyeshwa sehemu nyingine tofauti na Azam.Halafu ni kama vile TBC1 kwa kushirikiana na mshirika wake Startimes dawa imewaingia vizuri na kwa sasa hawataki utani, wameamua kupambana na Azam mpaka kieleweke ili nao wapate wateja.
Inasemekana pia Startimes anapambana aoneshe NBCPL!
Startimes wapo clear kuzidi Azam kivipi.? Kumbuka hao Startimes hawafanyi production, sasa huwezi kusema wapo clear zaidi ya Azam wakati hao wote wanapokea video ya aina moja kwenye hizo mechi za CAF zinazochezwa nje ya Tanzania.Kivipi issue ni maokoto mbona startime wapo clear hata kuzidi hiyo azam
Zeereuuu kwa Mtani hiii,inabidi awakomwshe.....Mzarendo Toka Njilinjii naitakia thimba ushindi.Mmepewa odds mlima huko 😄
View attachment 2913063
Wanaonesha MkuuHivi TBC wataonesha kweli hii game?