Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nguvu Moya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amka kumekuchaAsec 1-2 simba
Dah, bonge la loss, mrembo ni utopolo?Kila la kheri watani, nyie peperusheni bendera kwanza wakati sisi tunajiandaa kwa bleach za Pacome Day.
Kuna tofauti kati ya Muddy na Mohammed?TBC sio ya Serikali bali ni ya umma. TSN ndio ya serikali. Hii dhana potofu ndio imefanya imekua media ya hovyo kabisa.
Ukute hata TV ya aborder huna, ila nyuma ya keyboard ni zaidi MO Dewji, shombo kama zote😂😂😂😂😂Kuliko niangalie TBC bora hata hiyo mechi nisiangalie
Chawa wa ccm akili utatoa wapiUkute hata TV ya aborder huna, ila nyuma ya keyboard ni zaidi MO Dewji, shombo kama zote😂😂😂😂😂
Wape Simba ushindi, utanishukuru BaadaeFT 1-1
My prediction. Tukutane mwisho wa mechi.
Tuliza akili mkuu, mechi kuoneshwa live siyo kosa, TBC siyo adui Yako, epuka siasa za kitoto boss.Chawa wa ccm akili utatoa wapi
Bora wagawane match tuu za NBCPL maana Azam anaanza kubweteka sasa,kama mbwai na iwe mbwai tuu.Halafu ni kama vile TBC1 kwa kushirikiana na mshirika wake Startimes dawa imewaingia vizuri na kwa sasa hawataki utani, wameamua kupambana na Azam mpaka kieleweke ili nao wapate wateja.
Inasemekana pia Startimes anapambana aoneshe NBCPL!
Muda gani huo,ngoja mchina avalie njuga hili swala halafu uone kama Azam atatoboa.Hapo n ngumu Sana kutoboa Azam Yuko mbele ya Muda
Angalia wewe unataka kunilazimisha sasaTuliza akili mkuu, mechi kuoneshwa live siyo kosa, TBC siyo adui Yako, epuka siasa za kitoto boss.
❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥 ❤️🔥