Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijiui.Mmepewa odds mlima huko 😄
View attachment 2913063
serikali ndio imehodhi na kusema ni mdomo wake.TBC sio ya Serikali bali ni ya umma. TSN ndio ya serikali. Hii dhana potofu ndio imefanya imekua media ya hovyo kabisa.
Ni vile hatuna clear seperation of power.serikali ndio imehodhi na kusema ni mdomo wake.
By lukas mshambwaTBC inainua wanyonge walio wengi
Hao ZBC unawasha ili uangalie mpira unakuta kisa cha nabii musaSafi,maana hata ile ZBC2 ambayo INA haki ya kuonyesha bure hii michuano sasa hivi Azam anaiminya anaiweka kwenye kulipia na hats match zenyewe hawaonyeshi.
Ndimgaya sida nene na lunoge lweki😕Navalonge swela 😂
Hakuna cha ukombozi hapa Suala ni Yanga tu atoke.Yanga waelekeze dua zao zote kwa mechi za Medeama. Nimewaza Medeama anaweza kuwa mkombozi wa Yanga kuliko wengi wanavyodhania
Kuna kampeni za udiwani Hadi niangalie tibisii?Mtangazaji wa TBC1 Nazareth Upete jana aliposti kwenye akaunti yake kuhusu ishu hii. Huu hapa ushahidiView attachment 2913016
Huyo Upete ndio yule Mtangazaji mwenye sauti kama ya Madame Spika Tulia au?Mtangazaji wa TBC1 Nazareth Upete jana aliposti kwenye akaunti yake kuhusu ishu hii. Huu hapa ushahidiView attachment 2913016
Nene Mgaya Mapesa beNdimgaya sida nene na lunoge lweki😕