Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mashabiki Wa Humu Ndani Wamepoa Kama Wamemwagiwa Maji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZBC ndio inahaki na sio ZBC2Safi,maana hata ile ZBC2 ambayo INA haki ya kuonyesha bure hii michuano sasa hivi Azam anaiminya anaiweka kwenye kulipia na hats match zenyewe hawaonyeshi.
Hii graphic ya Simba mboni km sijaielewa makolokolo au?Wawakilishi wa Tanzania, Simba watakuwa dimbani wakisaka ushindi
Tunajua tunashindaMashabiki Wa Humu Ndani Wamepoa Kama Wamemwagiwa Maji.
Mtani Hapo Ulijichanganya Kushangilia Hiyo Timu MbovuTunajua tunashinda
Azam Wana channel zenye HD na Tbc hawana hicho kitu.NBCPL bado sana kuonyeshwa sehemu nyingine tofauti na Azam.
Mwaka ambao Azam alichukua haki ya kurusha ligi kwa miaka 10 pia alikuwa dstv ila ujinga wa wake ni alitaka kurusha mechi za simba vs Yanga tuu hapo ndipo akapigwa na kitu chenye ncha kali na Azam hvy Akachukua nafasi yake kiwepesi.
Startimes wapo clear kuzidi Azam kivipi.? Kumbuka hao Startimes hawafanyi production, sasa huwezi kusema wapo clear zaidi ya Azam wakati hao wote wanapokea video ya aina moja kwenye hizo mechi za CAF zinazochezwa nje ya Tanzania.
anyway muda ni mwamuzi mzuri sana.Mtani Hapo Ulijichanganya Kushangilia Hiyo Timu Mbovu
Huwa Mnaterekeza Uzi Na Kukimbilia Kusikojulikanaanyway muda ni mwamuzi mzuri sana.
Haipo hivyo.Muda wa Taifa kuaibishwa umekaribia
Sio mimi mkuu.Huwa Mnaterekeza Uzi Na Kukimbilia Kusikojulikana
Alitakiwa mzamiru aanze sasa baba car wa nini
Mkuu, ishu kuwa HD ni jambo la kulipia tuu na sio kwamba lazima uwe na vifaa vya HDAzam Wana channel zenye HD na Tbc hawana hicho kitu.
Mechi moja utakayoangalia DStv na mechi hiyohiyo ikaoneshwa na Tbc kutoka source moja usitegee quality ya DStv na Tbc kufanana.
Angalia tenaTBC sio HD
Baba Carsar ni mkabaji na pia anasaidia kuongeza namba za washambuliaji pindi timu inapofanya mashambulizi.Alitakiwa mzamiru aanze sasa baba car wa nini