maombi yako yasipotimia wa kumlaumu ni atakuwa Mungu ni Asec?Ee Mungu tunaomba tusifadhaike mioyoni mwetu, tunaiamini Asec tunakuamini na wewe, tunaomba Ndunduka afe.
Supersport ganiNa Supersport nao live
Quarter final ni Yanga & Aly Ahal
Mikijipanga fresh mtashinda leoPitch ya kiwango cha AFCON, inaruhusu boli kutembea.
Ebwana sijaiangalia Simba toka Mapinduzi Cup, kuna matumaini ya ushindi leo?
Kwenye football hii haipogiEe Baba uliyeziumba Mbingu na Nchi tupe ushindi leo... Ukawape maadui zetu kilio kikuu....
Sure' tupate link.Mwenye link ya live tafadhali
Manake yale maombi yako si lolote kuweza kusaidia kiungo wetuSema hii kiungo ya Simba ikikutana na kiungo mwenye kasi hapo kati tunapoteana....
[emoji881]Ameen [emoji175]
Na iwe hivyoooo [emoji120][emoji120]Niseme nini vipenzi vyangu zaidi ya kuwatakia kila la heri...hakika robo fainali tunaenda...
Amina....
Simba Nguvu moja
[emoji3590] [emoji3590] [emoji3590] [emoji3590] π€π€π€π€π€π€π€π€