FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Hata hao azam w
Wananunua startime kufanya production hawajashindwa kupitia hd zao za starworld unayeongea nae hapa ni mtu wa production hata wasikudanganye azam awafanyi production Caf naó wananunua wanafanya hapa bongo
Mbona nimeandika wananunua wote, na Azam anafanya production ya hapa bongo au ww Umeelewa nn.?
Huyo anayefanya production ni lazima iwe HD ila hao wengine wanaoonyesha sio lazima iwe HD.
 
Huyo dogo wa tbc anavutia kumsikiliza
Uko sahihi 100%, huwa naweka audio ya English coz ya kelele za wale jamaa wa azam ila dogo yuko poa, I switched back for a try after seeing your comment and I'm there tbc1 to stay. Blessings
 
Mabdaliko ya kipuuzi haya. Timu hauna mwenye akili hata mmoja. Ngoja tuilone😆
 
Hawa Memosa wanacheza ili wasiumie au kuchoka maana washafunga hesabu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Benchikaa ni mwehuu kabisaa, anafanya upuuzi ganii hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…