Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Aliyemleta Koblan Simba mbingu haendi ng'oo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nimeandika wananunua wote, na Azam anafanya production ya hapa bongo au ww Umeelewa nn.?Hata hao azam w
Wananunua startime kufanya production hawajashindwa kupitia hd zao za starworld unayeongea nae hapa ni mtu wa production hata wasikudanganye azam awafanyi production Caf naó wananunua wanafanya hapa bongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi vichekeshoo vinapatikana kwako tyuuh.Yanga ndiyo wangepangwa hili kundi, wangekuwa wanaongoza na wameishapita.
Uko sahihi 100%, huwa naweka audio ya English coz ya kelele za wale jamaa wa azam ila dogo yuko poa, I switched back for a try after seeing your comment and I'm there tbc1 to stay. BlessingsHuyo dogo wa tbc anavutia kumsikiliza
Anatolewa 😂🤣😁Benchikha una shida gani? Hivi huoni kuwa Ntibanzonkiza anaigharimu timu???? Ni kweli haoni anavyopoteza mipira inayoleta madhara?
Kamtoa kwa kuchelewa.Benchikha una shida gani? Hivi huoni kuwa Ntibanzonkiza anaigharimu timu???? Ni kweli haoni anavyopoteza mipira inayoleta madhara?