Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inamaanisha ni lazima Mnyama ashinde Lupaso Galaxy kupasuka siyo ombi ni lazima..
Simba inaongozwa na wanasiasa.Waliobaki hata wachezaji hawawajui kazi kujisifia
Haitatokea tenaGalaxy anapajua lupaso. Alishawai ipasua simba bora kuliko hii bao tatu na mimba juu
Naomba maelezo hapa, head to head itahusika kivipi,usinichoke kwa maswala pleaseHead to head kati ya Simba vs Wydad
Kwanza itakua goal difference baada ya hapo ndo itakua head to headNaomba maelezo hapa, head to head itahusika kivipi,usinichoke kwa maswala please
Naomba maelezo hapa, head to head itahusika kivipi,usinichoke kwa maswala please
Inaanza Head to beadKwanza itakua goal difference baada ya hapo ndo itakua head to head
Sijui kwa nini Kibu alichezeshwa namba kumi na moja na leo Chama alitakiwa arudi ktk natural position yake,Saido angecheza kumi na moja. Sometimes hata mpangilio unaweza kukukosesha matokeo.
Mechi nzuri ya kushinda ilikuwa ni leo. Kwa kuwa mpinzani alikuwa hana cha kupoteza.Simba tunaenda Robo
Team ya wahuni. Wamekusanyana wakapachikwa kwenye team inaitwa Simba Sports Club.
Hamna kitu mkusanyiko wa watu wanaomtajirisha try again naangungo wa msovero.
Wanapigwa. Mungu akiwaonea huruma draw. Kushinda hakupo. Piga ua. Hakupo. SIMBA WAKISHINDA NIPIGWE BAN YA WEEK NZIMA. NAJUA HAITOTOKEA WAKASHINDA HAWA VILAZA.
Bado kibarua kigumu, maan atazidiwa point 1 na jwaneng, na hapo watakutana Kwa mkapa.
Na akishinda wydad watakua na point sawa.
Afu kuna match za mwsho ndo zitaamua nan asepee robo.
Kumbe mechi za makundi zimeisha?Baada ya kunusa robo kesho nitasumbua Uto kwa raha kabisa