FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

Anataka nini sijui!?[emoji23][emoji1787]
Njoo tena na Yale maneno yakooo, muambie arajiga wakoo akatae na Yale mabao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Atajua hajuiii. Woiiiiiiih
 
Azam badala yakutanguliza timu kwanza wao wanatanguliza mtu
 
Naombaa usemee yotee leo, siku tutapokaa kwenye nafasi yetu, kusiwe na jipyaaa. Uwanja ni wako sasa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nafasi pekee unayoweza kukaa ni ya 2, tena kwa hisani ya rambaramba.
Mimi bado point 4 tu hutanifikia maisha.
 
Yanga anahitaji kushinda game 1 bas ubingwa wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…