🤣🤣🤣🤣Mimi sikukimbia timu, Daktari wangu alinishauri nikae pembeni kidogo kuepusha depression
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mimi sikukimbia timu, Daktari wangu alinishauri nikae pembeni kidogo kuepusha depression
😁😁😁 Twende kwa arajiga. Utanikuta hapa kituo cha bodaUmeshamaliza au bado? Nataka kufunga hesabuu jioni hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu naenda kwa page yake, ntavomchambaaaa mbona atanishitaki na sijari lazima nimpe makavu yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] Twende ka arajiga. Utanikuta hapa kituo cha boda
Acha nongwa mtani.Huyu naenda kwa page yake, ntavomchambaaaa mbona atanishitaki na sijari lazima nimpe makavu yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
azam waliingia na objective ya kumtafutia magoli mla ugali na sukari,mla sukari nae anacheza huku anasumbuliwa na kivuli cha aziz kiView attachment 2985008
View attachment 2985846
#nguvumoja#
VIKOSI VINAVYOANZA.
AZAM FC
View attachment 2985936
SIMBA SC.
View attachment 2985938
Updates...
Timu zote mbili zimeshaingia Benjamin Mkapa.
Wanajiandaa kuanza mazoezi ya kupasha misuli.
Updates....
04'
Azam wanajaribu kufanya shambulizi, halifanikiwi.
20'
Mpira unaendelea na timu zinashambuliana kwa kasi sana.
Azam 0-0 Simba
29'
Simba wanapata kona!
Haileti madhara yoyote yale.
34'
Azam wanapata penati hapa.
Anapiga Feisali Salum
Amekosaaaaaaaaaaaaaa...
Imegonga mwamba na kurudi uwanjani.
39'
Mpira umesimama kwa muda .
Kanoute amegongana na kipa Mustafa.
Anatolewa nje kwa matibabu zaidi.
HT
0-0
----------------------
Kipindi cha pili
55'
Game on
0-0
64'
Goooooooooooal
Sadio Kanouteeeeeeeeeeee
Goaaaaaaaaalllll
0-1
Mpira unaendelea sasa.
Sub kwa Azam
Sopu Inn.
75'
Simba wanapata Free Kick anapiga Mohamed Hussein.
Anaipokea Fabrice Ngoma kwa kichwa.
Goooooooooooal Goaaaaaaaaalllll
Ngomaaaaaaaaaaaa.
Fabrice Ngomaaaaa...
0-2.
89'
Goooooooooooal
la Tatu.
Kameta anaipatia Simba goli la 3 hapa.
Azam 0 - 3 Simba.
FT
Azam 0-3 Simba.
View attachment 2986089
Mkubali sasa kama Diarra alivyokubali kufungwa na Freddy 😂Mimi Ni Simba Ila FREDDY huwaga si mkubali hata kidogo
Pale hamtoboi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayaa watume na kagera Sugar match ijayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukomiii tyuu?Pale hamtoboi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima nimchambeeAcha nongwa mtani.
Si umeshinda leo
Tuna game mbili tutangaze ubingwa nyie shindanieni nafasi ya pili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukomiii tyuu?
Win 1 na droo 1Tuna game mbili tutangaze ubingwa nyie shindanieni nafasi ya pili
No 2 ni yetu kabisaaa, halina mjadalaaTuna game mbili tutangaze ubingwa nyie shindanieni nafasi ya pili
Tutashinda zoteWin 1 na droo 1
SawaNo 2 ni yetu kabisaaa, halina mjadalaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]