FT | Azam FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 09.05.2024

[emoji16][emoji16][emoji16] Twende ka arajiga. Utanikuta hapa kituo cha boda
Huyu naenda kwa page yake, ntavomchambaaaa mbona atanishitaki na sijari lazima nimpe makavu yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: 511
Huyu naenda kwa page yake, ntavomchambaaaa mbona atanishitaki na sijari lazima nimpe makavu yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha nongwa mtani.
Si umeshinda leo
 
azam waliingia na objective ya kumtafutia magoli mla ugali na sukari,mla sukari nae anacheza huku anasumbuliwa na kivuli cha aziz ki
 
Ila mikia bado nafasi ya tatu ipo pale pale labda mufanye figisu azam apoteze au atoe sare angalau mechi moja huku nyie mshinde mechi zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…