Hahaha kweli vileeeeWeee! Apia jirani.
Hapana. Trust me sio lile pira papatu papatu la yanga nakubahatishaWewe ni muongomuongo
Tusubiri tuone jirani.Hahaha kweli vileeee
Tusubiri tuone jirani.Hahaha kweli vileeee
Ila Mtani Makolo wenzio wa Jf wamekupaga kazi kubwa sana aisee.Mnyama anamwasha!
Azam hawajajiandaa na Club Bingwa
Wanyama halisi, ije mvua lije jua.Ila Mtani Makolo wenzio wa Jf wamekupaga kazi kubwa sana aisee.
Wengi siku hizi wanapita kama huu uzi hawauoni wamekuacha wewe na Mtoto halali na hela ndo mnalisongesha kishida shida.
Hakika Mkuu.Wanyama halisi, ije mvua lije jua.
Wale kina OKW BOBAN SUNZU na wenzake wanaipenda timu ikiwa kwenye pick tu.
Hapo ni sawa na point 3, je wakati huo mechi ya Simba vs Azam imeishaje?Mtibwa 1 - 1 Yanga.
Dodoma Jiji 1 - 0 Yanga
Yanga 1 - 1 Tabora United
Yanga 0 - 0 Tanzania Prison.
Nisome kwa makini hapo Juu.
Daah! Halafu ye ndo alikuwa muanzisha nyuzi maarufu za 5imba kwa miaka kadhaa nyuma.Alipotezwa na Upepo wa kono la nyani.
Kama huna Resilience hutoboi ππ
Mtani nyie kinawashinda nini kuwa wachawi sa?Kubahatisha na uchawi mwingi
Hawezi kuchukua ubingwa.We Unahisi Simba Hawezi kuchukua Ubingwa au Kuwa Nafasi ya Pili???
Hebu sema kwanini??
Unafuatilia mpira kweli? Dortmund unajua nafasi ya ngap na yupo wapi? Acha bangeKutoka kucheza robo cafcl hadi kupigania nafasi ya 2ππ. Azam hakikisheni hawa maboya hawachezi champions league msimu ujao.