Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Vipi mkitoa suluhu leo! Nafasi ya yanga kutangaza ubingwa atadaiwa point ngapi?Unaweza kushangazwa!
Mkitoka Manungu J3 lazima muwe na lugha ingine hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mkitoa suluhu leo! Nafasi ya yanga kutangaza ubingwa atadaiwa point ngapi?Unaweza kushangazwa!
Mkitoka Manungu J3 lazima muwe na lugha ingine hapa
Vipi mkitoa suluhu leo! Nafasi ya yanga kutangaza ubingwa atadaiwa point ngapi?Unaweza kushangazwa!
Mkitoka Manungu J3 lazima muwe na lugha ingine hapa
Mtani Leo taaangalia game yenu kutoa hang over ya UEFAVaa ya IHEFU
Asante sana sana, ngoja niombe kibali kwa Wife kabisaLeo mkuu.
Kesho ni 10
Yaani bora ubingwa uchelewe kuliko Simba ashinde. Yale yale ya utakachoomba jirani yako anapewa mara mbili halafu unaomba chongo.Kila la heri Azam FC.
Japo mkisuruhu au kufungwa ,wananchi tutahitaji mechi moja tu tutangaze ubingwa.
Niombee nipate kibali hahahaaaa huko sitaweza kufika ila nitakua mahali flani pana chimbo zuri sana sanaTukutane kwa Mkapa!!
Mkuu, ukiwa na roho mbaya unaona bora ukose ila mwenzio akose zaidi.Dah!! 😂 😂