Ata akaminko kakosa goli la wazi + na ule mwambaSina cha kusema best si uliona niko kimyaaa? Yani magoli ya wazi kyombo amekosa tumlaumu nani sasa
Haikua upande wetu leo magoli ya wazi kabisa kyombo na okra daaaaah inaumaaaDada i told you Azam hatufungwi na team zisizo na viwanja
Yah Azam walikua vizuri sanaAta akaminko kakosa goli la wazi + na ule mwamba
Mmepunguzwa midomoπππππ pole KSina cha kusema best si uliona niko kimyaaa? Yani magoli ya wazi kyombo amekosa tumlaumu nani sasa
Hivi huwa tuna midomo eee π π π πMmepunguzwa midomoπππππ pole K
Yani eti ykiandika "fresh" ukataka kupost inakugomeaHata mimi nimeliona hilo mkuu
Cc kubwa lao la mapopoma linalowashwaga washwaga kuikandia Yanga kila siku "Okwi Boban Sunzu"Muda wowote kocha wa kuazima tutawarudishia wenyewe......
Tusubiri nyuzi Kali zinazochambua mambo bila unafki kutoka kwa GENTAMYCINE na porojo nyingi kutoka kwa njaakalihatari
Wakulaumiwa ni NDALA.Sina cha kusema best si uliona niko kimyaaa? Yani magoli ya wazi kyombo amekosa tumlaumu nani sasa
Ni B 26 ChifuSimba imefungwa, tuitarajie nyuzi nyingi kuanzishwa zikidai Ile billion 20