FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

1. Matola anamroga Mgunda

2. Barbara atuachie timu yetu

3. Boko na Manula wamezeeka

4.Mo atupe 20Bilioni zetu

5.Benchi LA ufundi lifumuliwe

6. Karia na TFF hawaipendi Simba

7. Marefa bongo wanahongwa sana

8......

9......


ONGEZENI VISINGIZIO VINGINE
 
Makolo kila wakipoteza bc hapo lawama kwa mchezaji au kocha mechi ya yanga jumba bovu lilimwangukia okrah leo Nyoni
 
Mlete mzungu
Tunamtaka mzungu
Pale kwenye ndomu yupo mzungu na mgunga
Akili za diamond bar saiv
 
Kombe hata ng'ombe analo. Kikubwa timu inashiriki na inafika mahali na inakula hela ambayo nyie na anibiteni yenu hamuifikii
Mwisho wa siku rekodi inasoma Yanga 0 simba 0 ihefu 0 hata kale ka timu ketu kandondo machava 0
 
Hela kwani inaingia mfukoni kwangu, furaha yangu kombe baaas pesa mie siwalipi mishahara au sitegemei kula kwenye senti zao
Mi nafurahi tuu kusikia timu ikifika robo fainali inaingiza bilioni kadhaa au bilioni kasoro kadhaa
 
Na Nyie Tuliwapa Bahasha Ya Sh Ngapi? Kule Mwanza Na Hapa Dar Agosti 13. [emoji23]
Hapa kwny timu zetu tukicheza cc na nyie mnachotushinda tuu ni uchawiii yani hapo tuuu. Dikson job alionekana live anamwaga kitu golini
 
Ngoja niende kwa@Umughaka nikajisomee hadithi yake ile nilale. Tutaonana kimataifa jiandaeni
 
Hapa kwny timu zetu tukicheza cc na nyie mnachotushinda tuu ni uchawiii yani hapo tuuu. Dikson job alionekana live anamwaga kitu golini

Ttz Ni Kwamba Mnafikiri Mnacheza Na Yanga Ya Akina Striker Molinga Na Beki Ni Ally Ally Siku Zote Mnaingia Uwanjani Na Iyo Mentality Wakati Yanga ilishabadilika Siku Mingi…Matokeo Yake Mnafungwa Mnasema Mmerogwa [emoji23][emoji23]
 
Ujinga huu sijui umeanza lini mzee..

View attachment 2399809
Acha kuwalaumu mods wakati makosa yapo kwako, umeandika neno moja tu UJINGA then unapewa taarifa uandike zaidi ya maneno matatu wewe unakasirika, sasa kosa la mods hapo ni nini? Au kipigo cha leo kimekuchanganya.

Elewa kutofautisha kati ya neno na herufi
 
Back
Top Bottom