Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kombe hata ng'ombe analo. Kikubwa timu inashiriki na inafika mahali na inakula hela ambayo nyie na anibiteni yenu hamuifikiiMuhimu kombe, kushiriki sio mashindano ya kwaya hayo
Ila si ndo ukweli wenu? Yani hizo ni tabia zenu 😀 😀[emoji1787][emoji1787] wakifungwa wengine hua mnasema bahasha mtuambie nyie bahasha imehusika?
Pole Sana,Kama nakuona ulivyochongoa mdomo Kama chupaIla si ndo ukweli wenu? Yani hizo ni tabia zenu 😀 😀
Hela kwani inaingia mfukoni kwangu, furaha yangu kombe baaas pesa mie siwalipi mishahara au sitegemei kula kwenye senti zaoKombe hata ng'ombe analo. Kikubwa timu inashiriki na inafika mahali na inakula hela ambayo nyie na anibiteni yenu hamuifikii
Mwisho wa siku rekodi inasoma Yanga 0 simba 0 ihefu 0 hata kale ka timu ketu kandondo machava 0Kombe hata ng'ombe analo. Kikubwa timu inashiriki na inafika mahali na inakula hela ambayo nyie na anibiteni yenu hamuifikii
Nipo kawaida tuuu. Pole ya nini sasa hatuhitaji pole yani ubingwa mwaka huu tunachukua 😀Pole Sana,Kama nakuona ulivyochongoa mdomo Kama chupa
Ila si ndo ukweli wenu? Yani hizo ni tabia zenu [emoji3] 😀
Mi nafurahi tuu kusikia timu ikifika robo fainali inaingiza bilioni kadhaa au bilioni kasoro kadhaaHela kwani inaingia mfukoni kwangu, furaha yangu kombe baaas pesa mie siwalipi mishahara au sitegemei kula kwenye senti zao
Hapa kwny timu zetu tukicheza cc na nyie mnachotushinda tuu ni uchawiii yani hapo tuuu. Dikson job alionekana live anamwaga kitu goliniNa Nyie Tuliwapa Bahasha Ya Sh Ngapi? Kule Mwanza Na Hapa Dar Agosti 13. [emoji23]
Lete pepe gudiola mneneeee......baada ya kulamba tubilioniMi nafurahi tuu kusikia timu ikifika robo fainali inaingiza bilioni kadhaa au bilioni kasoro kadhaa
Ishapita hio maumivu hapahapa magetoni kwa SamiaNgoja niende kwa@Umughaka nikajisomee hadithi yake ile nilale. Tutaonana kimataifa jiandaeni
Hapa kwny timu zetu tukicheza cc na nyie mnachotushinda tuu ni uchawiii yani hapo tuuu. Dikson job alionekana live anamwaga kitu golini
Acha kuwalaumu mods wakati makosa yapo kwako, umeandika neno moja tu UJINGA then unapewa taarifa uandike zaidi ya maneno matatu wewe unakasirika, sasa kosa la mods hapo ni nini? Au kipigo cha leo kimekuchanganya.