Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah unaweza cheka hadi ukaeMpira unaendelea Azam keshakula chuma 3
Hii timu imekosa nini ?....Bakhresa alibugi sana hapa...
Nadhani akina Jemedali warudi kwenye timu.
Pia Azam watafute Coach.
AZAM HOVYO MNO
UwanjaHivi ukubwa wa azam ni nini ?
KiwanjaHivi ukubwa wa azam ni nini ?
Hawa wanajuwa kuipania Yanga tu, na tajiri yao alivyo boys aliwaahidi million 500 wakiifunga Yanga.Hii timu inatia hasira sana, alafu wachezaji hawaoneshi nia ya kuipigania timu, wapo wapo tu.
Kumiliki uwanja mzuriHivi ukubwa wa azam ni nini ?
***** 🤣🤣🤣Wali wakamia utopolo wakasahau kuna maisha baada ya derby [emoji23]
Watuachie nafasiKheeee...hii imeenda
Utadhani umekula kande kabla ya kuanza mpira! wazito sana