Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nimeyapokea matokeo kwa mikono miwili.Umekosa vyote katibu wangu, alama 3 na kondoo vyote umekosa 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeyapokea matokeo kwa mikono miwili.Umekosa vyote katibu wangu, alama 3 na kondoo vyote umekosa 🤣🤣
Ndio hivyo sasaSiamini macho yangu🙁
Nipo Kigamboni Kibada tena naku DM sasa hivi.weka jiwe naweka hela. GAMONDI LEAGUE ACHUKUI .
UNAPATIKANA WAPI? TUWEKE HELA AMNA KOCHA MULE
Ubingwa kupotea never sahau.Na mtafungwa na timu ndogo kisha ubingwa mtapoteza
Sawa ahsante kwa elimuKijana,movement huwa inahesabika offside kama mchezaji atasubiria mpira,ila kama wakati mpira unatoka kwa mchezaji A kwenda kwa mchezaji B,na mchezaji B akawa kwenye movement ya kuukimbilia mpira au kukimbilia kwenye nafasi ili auwahi mpira HAKUNA OFFSIDE YA NAMNA HIYO,,ndo kilichotokea kwenye movement ya goli la pili la feisal
Anaongea hisia zake achana nae huyo.Gamondi huyu huyu aliyechukua kombe la batola pro na wydad, kombe la ligi ya south africa na mamelodi na la egypt premia ligi na ali ahly au gamondi yupi?
Punguza kuumia Ndo kawaida tena 🤣🤣🤣Acha utoto we kolowizadi
Watakufa tena kama janaKama wanabisha tuangalie marudio
Niambie mekuuMekuu.
Droo ya kitandaHii game ni droooooooooooooooooooo
Coment imetelekezwa hiiSio muda makolo.....watakimbia Uzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Natumai bado unajichekesha [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]soka ni raha raha yenyewe ni kuitazama Young African
Au siyo naona waliingia [emoji23][emoji23]Hawa azam kwa navyoona hadi sasa wanaweza wakaingia kwenye list yetu ya 5
Niko upande wa Feitoto, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uko upande upi? sema mapema
Nimeamkiaaa Chamaziiiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo hii umetoa biasless claim!!??
Hatari hii,umeamkia wapi leo mamaa Thimbaa!?[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Na ikawa kweliii, weraaaaaahKila la heri azam fc
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema tena sijasikiaaaaaAnaogopa sana!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo Yanga ikishinda safari ya ubingwa imemalizika.