cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kikosi kipana kiko wapiiiii?Gap la aucho na pacome limeonekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikosi kipana kiko wapiiiii?Gap la aucho na pacome limeonekana
Vipi na kwa mechi ya Mamelodi nikuahidi kukupa kondoo iwapo mtashinda ama?Nimeyapokea matokeo kwa mikono miwili.
Pumbavu kichwa kama tofaliMbona bado hujasemaa, hebu sema tena sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zanzibar Finest ni m1 tyuuh, epuka matapeliiii.Feisal Salum Toto " Zanzibar Finest "
Last born wa taifa kutoka Kizimkaz .
Kiungo wa Mali kabisa huyu mabao 13 ya NBC premier League , mnataka nini tena ?
Nae muwekeni kwenye mijadala yenu au kwakuwa ni Mtanzania ?
Dogo analijua boli [emoji1316]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee teseka taratibuu bhana, sisi tuko buzzy na Feitoto.Mnaocheka Cheka mtalipia tarehe 29 malipo Hapa hapa duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umekuwa mod tangu leo?
Ila bora kufungwa na Azam lkn sio MakoloUmevurugwaa kiasi hikii? Mbona bado sanaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwema kwema 🤣🤣🤣umewaona utopwenga 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii kwemaaa
Leta msimamo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee teseka taratibuu bhana, sisi tuko buzzy na Feitoto.![]()
Wee tuachee emu huko, sisi tuna kikosi kipanaa.Yanga ni Aucho, Aucho anaituliza sana timu. Magoli yote mawili yaliyofungwa leo ni ya uzembe wa hali ya juu. Na pia inawezekana wachezaji wamechoka kutokana na mucheza mechi mfululizo ndani ya siku chache tena ni mechi zilizokuwa ngumu
Wewe timu ganiNdio hivyo sasa
Na dawa 3 ya kutuliza maumivu, ninazo nagawaa bureeeKwa yeyote anahisi kifua kinabana nauza glucose
Kauze sabuniWee tuachee emu huko, sisi tuna kikosi kipanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na maseko atakujaa kuumaliziaa kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Moyo unauma sanaaaaa....
Utasema yoteeee, mbona badoo hapooo?Kama Masandawa walikua Taifa Kuchukua Notes, Wamecopy "Tango Pori"
Mtasemaa yoteee, mbonaa badooo.Ushindi wa kimkakati huu.... Kumpandisha azam kumshusha simba huku tukibaki juuu
😂🤣😁Utasema yoteeee, mbona badoo hapooo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kimya kimetawala mtaani,Simba tulichemka kufungwa na Prison hawa utopolo jana baada ya mechi wangeshamtimua kochaNa dawa 3 ya kutuliza maumivu, ninazo nagawaa bureee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona bado hata msongo haujakupata vyema, masandawana wanakuja kuwawehushaa kabisaa.Matokeo ya leo yamenifadhaisha sana. Nimepata msongo mkali sana wa mawazo ila nikawahi kupatiwa huduma ya kiakili mapema.