Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekimbia weweee mbwa koko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio muda makolo.....watakimbia Uzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Una raha kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayupoooooHivi kuna mwenye wasiwasi juu ya Yanga kushinda?
Ubingwa kupotea never sahau.
Tena tunaanza na wewe Simba tunakuchabanga nyingi tu za kutosha.
Azam ni timu imecheza hilo tulikubali.Ila kufungwa na Azam haimaanishi Yanga ni mbovu bali tulizidiwa kimbinu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badooo hujasemaaa.Duh [emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NAITWA FEISAL MAMELOD
UBUNTU BOTHO
Watu tunakaa mbali sanaa, amalize harakaa.Refa maliza mechi usiku mkubwa huu afu vibaka wengi
Umevurugwaa kiasi hikii? Mbona bado sanaaaaNatamani niingie uwanjani nikimbie na mpira hlf nikifika golini nipige shuti liwe goal[emoji23][emoji25]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Goooool ni yule yule somba somba onana dk 89 azam 2 -2 yanga wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mbona bado hujasemaa, hebu sema tena sasaKishaumana aisee...
Na nilinunua jezi kabisa for the first time in my life afu tunafungwa[emoji24][emoji24][emoji24]
Hiyo mechi siiiangalii 😁😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badooo hujasemaaa.
Shalulilee anakuja kuua kabisaaa.
Mamelod ndo watakujaa kuyazima kabisa hayo mapigo.Yanga wamenizoesha vibaya!
Nishazoea kila siku wananifurahisha leo kufungwa kidogo tu Mapigo ya moyo yanaenda mbio!
Ongeza sauti utopwisooo wenzio wasikie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mistake unacheza namba tisa watatu wote style yao ya uchezaji ni moja.Hii mechi tumechemka wenyewe.
Utaielewa kwa masandawanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sub ya guede sikuielewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba mapaziaaa, wee ni yangaa OG?Tumepoteza wadau
Tujipange na game zingine
Bye [emoji112]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii kwemaaaUnaenda wapi uto[emoji2][emoji2]
Wee umefungwa, emu tuliza mshonoo.Je simba atamuweza yanga game ya pili?sio mnafurahi tu wakati hamna uwezo wa kumfunga Yanga.
Na je nani atatoa sare na Yanga?