cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wameinamishwa kisa [emoji511] ya jero. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utopolo wamelalwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameinamishwa kisa [emoji511] ya jero. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utopolo wamelalwa
Tenaaa mnoooo [emoji23][emoji23][emoji23]Una raha kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwemaaaBasi sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakomaa safarii hii.Hiyo mechi siiiangalii [emoji16][emoji23]
Nitakuwa Niko nungwi na watoto wa kizanzibar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakomaa safarii hii.
Utaivaa siku ya UBUNTU BOTHOKishaumana aisee...
Na nilinunua jezi kabisa for the first time in my life afu tunafungwa[emoji24][emoji24][emoji24]
Nipo Kigamboni Kibada tena naku DM sasa hivi.
Usije badilika tu mwishowe na mimi nitaweka hela hiyo hiyo.
poa. tufanye hivyo huyu achukui ligiNipo Kigamboni Kibada tena naku DM sasa hivi.
Usije badilika tu mwishowe na mimi nitaweka hela hiyo hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nataka useme tenaa.Pumbavu kichwa kama tofali
View attachment 2938019
[emoji23][emoji23][emoji23] ndo mie yess.Ila bora kufungwa na Azam lkn sio Makolo
Kwenye avatar ndo wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopwisoooo hawana jambo, kila shabiki was uto Leo ananijia kwa adabu, nkauliza ndo kwaresma na Ramadan, au FEI TOTO???Kwema kwema [emoji1787][emoji1787][emoji1787]umewaona utopwenga [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msimamo sio shida zetu, wala hatutaki kujua.Leta msimamo
😂😁😁 Ngojea waarabu wawape tende tarehe 29[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msimamo sio shida zetu, wala hatutaki kujua.
Usituchanganyie madesa, eboooo
Ndo naenda nazo chamazii, kuwapa wachezaji buree watoe jasho la janaaa.Kauze sabuni View attachment 2938025
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kimya kimetawala mtaani,Simba tulichemka kufungwa na Prison hawa utopolo jana baada ya mechi wangeshamtimua kocha
Kweli wakina Geo Davie na Mwamposa hawana makosa yoyote ni sisi wenyewe daah!jidanganye
azam akitulia anapigwa 3 akizembea anakula 5
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zwanee hata haimuhusu na hataki kujua hilo.Nitakuwa Niko nungwi na watoto wa kizanzibar
Ukifika njoo pm uje upitie na huku kigamboni unipoze machunguNdo naenda nazo chamazii, kuwapa wachezaji buree watoe jasho la janaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaniliza sana ujue😭😭😭[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zwanee hata haimuhusu na hataki kujua hilo.
Mokoena ndo sio shida zake kabisaa.
Jibu ni fei toto 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopwisoooo hawana jambo, kila shabiki was uto Leo ananijia kwa adabu, nkauliza ndo kwaresma na Ramadan, au FEI TOTO???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nyie masandawana watawapa bange mtajua hamjui[emoji23][emoji16][emoji16] Ngojea waarabu wawape tende tarehe 29