😳😳😳😳😳 Unamaanisha huyo jamaa jangwani directly??Sawa mwananchi dube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳😳😳😳😳 Unamaanisha huyo jamaa jangwani directly??Sawa mwananchi dube
Sasa kumbe mnajua kwamba timu kubwa zinaweza Kufungwa na timu ndogo, lakini haina maana kwamba ni mbovu, ila cha ajabu simba ikifungwa ni mbovu ila yanga ikifungwa ni matokeo tu [emoji849][emoji849]kwa hii lugha yako inaonekana hujui mpira mkuu.
Gamondi ni kocha na tactics anazo ila wachezaji leo ndio wamemuangusha.
Kibabage,Sure boy wamezingua sana leo.
Pia ile mechi hakutakiwa kumchelewesha Okrah,Okrah ile mechi ilikua inamuhusu sana.
GAMONDI KOCHA we subiri tumalizane na sundowns hakuna ataebaki kuwa kizingiti kwetu pale juu hatushuki ng'oo!
Kama Al ahly inafungwa na timu ndogo za Misri sembuse Yanga??
Wahi hospitali mtani tusije tukakupoteza Mapema [emoji23][emoji23]Moyo unauma sanaaaaa....
Hiyo kesi ya Simba ni nyingine mkuu.Sasa kumbe mnajua kwamba timu kubwa zinaweza Kufungwa na timu ndogo, lakini haina maana kwamba ni mbovu, ila cha ajabu simba ikifungwa ni mbovu ila yanga ikifungwa ni matokeo tu [emoji849][emoji849]
🤣😂😭😭Wahi hospitali mtani tusije tukakupoteza Mapema [emoji23][emoji23]
Usain Bolt JrUnawatakia heri washindani wenu kwenye nafasi ya pili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amka wee utajikojoleaaa.Ligi ya mabingwa Africa
✅😳😳😳😳😳 Unamaanisha huyo jamaa jangwani directly??
Hebu sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena mwenye card
Niko darajani hapa.Nakusubiria uje tucheze na ps5
Eeeh mywanguHebu sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana nilikua buzzy sanaa,Kwema naona unafurahiiii kama nini.
Na wewe mjanja duuuh!!
Yani umengojea mechi iishe matokeo yajulikane ndio ujibu.
[emoji15][emoji15][emoji15].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wanasimba tuondokeni humu jamani
Mmewakaba mpaka asubuhi hii[emoji23]
Hufanani na kuwa yanga, kwan na DA Ke nae ni Yanga?Eeeh mywangu
Jadili matokeo na mechi, vitu vingine ni petty issuesOKW BOBAN SUNZU inakuaje mtu unaquote hlf unafuta, unahisi umeandika pumba au?
Aaaah wapii huna lolote kwani sijaona comments zako baada ya comment yangu!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana nilikua buzzy sanaa,
Mkuu kwa mujibu wenu yanga mpira ni magoli kwamba mradi timu imefungwa basi hiyo ni mbovu hakuna mjadala, hao kina ihefu na kagera sugar sie tuliwafunga na azam tulitoa draw, kwani walivyocheza na sie ni tofauti na walivyocheza na nyie auHiyo kesi ya Simba ni nyingine mkuu.
Simba aisee ni special case tuongee kimpira tuache ushabiki.
Ifuatilie Simba hata dhidi ya Mashujaa tizama wachezaji wao,Simba Benchika anawaokoa sana ila wachezaji hakuna.
TIzama game ya jana halafu tizama mliofungwa na Prisons pia tizama tuliofungwa na Ihefu halafu compare and contrast.
🤣😂😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amka wee utajikojoleaaa.