utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
[emoji119][emoji119][emoji119]Kwakweli utopolo wapo katika ubora wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji119][emoji119][emoji119]Kwakweli utopolo wapo katika ubora wao.
Fei toto ana heshima yake aisee! Hata kama ana madhaifu machache ya hapa na pale, kuhusu hiyo ishu yake ya mkataba.Yaani Aziz funguo unalinganisha na mlima karafuu kutoka Zanzibar???
Niwakumbushe tu huyu ufunguo ni talent kubwa sana katika soka la Africa kacheza ulaya huyu
🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli wanastahiliUtopolo siyo mchezo
Fei ndio atajua yeye sio kituKwakweli utopolo wapo katika ubora wao.
Naona umeanza kuja kuja Mtani. Teh teh.Kwakweli wanastahili
Si vizuri kumbeza Fei Toto ametusaidia sana wana jangwani ana mchango mkubwa sana kwetuYaani Aziz funguo unalinganisha na mlima karafuu kutoka Zanzibar???
Niwakumbushe tu huyu ufunguo ni talent kubwa sana katika soka la Africa kacheza ulaya huyu
sio kwa yanga hii, labda ingekuwa nyauAzam bado wana nafasi kwenye hii mechi
Acha kutoa huruma hapa.. Yanga ndio Wana nafasi yakuongezea magoli zaidi.. we unaangalia mpila gani huoAzam bado wana nafasi kwenye hii mechi
Sawa endelea kusubiriAzam bado wana nafasi kwenye hii mechi
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, Yanga wamepania iwe mvua liwe jua ni lazima kieleweke 😂🤣😃Naona umeanza kuja kuja Mtani. Teh teh.
Leo hatuna jezi nyeusi, andaeni malalamiko mengineHii ndio fighting sasa, sio Simba ikipigwa goli 1 tu inapoteana mazima
Nadhani kaangalia zaidi maslahi yake kwani kiwango katika soka kina mwishoFei ndio atajua yeye sio kitu
Nakubali mtu kama ww anayesema ukweli mchunguHii ndio fighting sasa, sio Simba ikipigwa goli 1 tu inapoteana mazima