Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
HujiaminiNasubiria matokea mpaka mwisho. Azam huwa wanatukamia sana. Merry Christmas mrembo wangu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HujiaminiNasubiria matokea mpaka mwisho. Azam huwa wanatukamia sana. Merry Christmas mrembo wangu...
Nina wine kichwani, unataka niandike makorokocho wewe eeehHujiamini
Wakitulia Azam game yao hii. Yanga bila jezi nyeusi ni nyeusi kuliko nyeusi.Pigeni kelele na hapo
huwezi angalia pressure iko juu sanaHatima ya hii mechi ipo mikononi mwa Azam
Siangalii mechi ya kipindi cha pili ninau bize ila Azam wakifungwa wamependa
Nilijua unasema Mbappe kumbe mbapeNamfananisha mayele na mbape, tena kamzidi mbape
Pressure gani sasa?huwezi angalia pressure iko juu sana
Ndugu unamaanisha Mbappe yule alopiga hatrick WC final 2022 Qatar?Namfananisha mayele na mbape, tena kamzidi mbape
Nina wine kichwani, unataka niandike makorokocho wewe eeeh
Umegida wine ipi?Nina wine kichwani, unataka niandike makorokocho wewe eeeh
Umemnukuu vibaya muandishi kasema "Mbape" sio "Mbappe"Ndugu unamaanisha Mbappe yule alopiga hatrick WC final 2022 Qatar?
Au una wenge la wanzuki
Tulia kama unanyolewa, tunajua tunacheza na team mbili.Hatima ya hii mechi ipo mikononi mwa Azam
Siangalii mechi ya kipindi cha pili ninau bize ila Azam wakifungwa wamependa
Ndugu unamaanisha Mbappe yule alopiga hatrick WC final 2022 Qatar?
Au una wenge la wanzuki
Atakuwa yule wa kwa Bibi NyauUmemnukuu vibaya muandishi kasema "Mbape" sio "Mbappe"
Unacheza na timu mbili au unaogopa tu kivuli chako?Tulia kama unanyolewa, tunajua tunacheza na team mbili.