FT: Azam Federation Cup: Simba 4-0 African Sports : 02/03/2023

FT: Azam Federation Cup: Simba 4-0 African Sports : 02/03/2023

Okay mmetisha hamvai jezi mpaka zipigwe pasi tena na dobi wa nje ya nchi.
Kwani wachezaji jezi zao hazikufika kwa wakati? Simba kwenye safari yao ya Guinea walibadili jezi na track zaidi ya 6 na zote kali.

Nyie mmeishia kubandika Haier juu ya SportPesa. Unadhani watu hatujaona. Tumeamua tu kupotezea maana ni mambo madogo hayo.
 
Okay mmetisha nyie wenzetu hamvai jezi mpaka zipigwe pasi tena na dobi wa nje ya nchi.
Achana na hizo moka za buku buku pale karume

Hizi suti mlishonea pale Tandika karibu na machaka ya kihaya

Suti mlishonea kwa vitambaa vya mashuka

Halafu fundi mwenyewe mlimkopa, mpaka muda huu hamjamlipa pesa yake.


Screenshot_20230302-172206.png
 
Kwani wachezaji jezi zao hazikufika kwa wakati? Simba kwenye safari yao ya Guinea walibadili jezi na track zaidi ya 6 na zote kali.

Nyie mmeishia kubandika Haier juu ya SportPesa. Unadhani watu hatujaona. Tumeamua tu kupotezea maana ni mambo madogo hayo.
Sasa zile zilizo chelewa zilikuwa za akina nani?
 
Back
Top Bottom