TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Bange za kuchanganya na mavi hiziSimba leo anakaa: mkono ni chache. Akirudi Dar, anapigwa wiki na CS Constatino. Mchezo umeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bange za kuchanganya na mavi hiziSimba leo anakaa: mkono ni chache. Akirudi Dar, anapigwa wiki na CS Constatino. Mchezo umeisha
🤣🤣🤣🤣🤣Simba ikishinda leo itakuwa imefuzu moja kwa moja. Pia Simba ikitokea kufungwa leo lakini Constantine ikashinda itaipa Simba urahisi kushinda.
Hiki kikokotoo kanipa Mdau wa Yanga japo nimemuambia sisi hatutumii calculator kwenye soka
Ongeza sauti kwa wale walioko nyuma pia wasikieLeo Simba tunakwenda kuonyesha utofauti kati ya kuwekeza kwa Wachezaji na kuwekeza kwenye Timu nane.
Tukipata draw ni afadhali,ila naona game itakuwa ngumu mnoMechi ya Leo naona draw
Simba anashinda 2-1Heri ya Siku ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Ni jumapili tulivu, Mnyama Mkubwa Mwituni, Simba Sports atashuka dimbani dhidi ya wenyeji wake Bravos ya Angola katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Katika mchezo wa kwanza, Simba akiwa nyumbani aliibuka na ushindi wa 1-0, je ataendeleza wimbi la ushindi?
Simba inazidi kuimarika hasa ikichagizwa na ongezeko la Mpanzu, huku ikiwa nafasi ya pili na alama 9 wakati wenyeji Bravo wakiwa nafasi ya 3 na alama 6. Ni mtanange wa kufa na kupona.
Ikumbukwe kuwa Bravos ameshinda mechi zake mbili akiwa nyumbani, huku Simba akitoka kushinda ugenini mechi iliyopita, patawaka moto!
Mechi itakuwa mubashara Saa 1:00 Usiku kwa masaa ya Afrika ya Mashariki.
Karibuni wote, mshuhudie wawakilishi sahihi wa kimataifa wasiotumia CALCULATOR wakielekea Robo Fainali kama ilivyoada yao!!View attachment 3199024
Hawa ni wawakilishi sahihi kwenye mashindano ya wanawake.Heri ya Siku ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Ni jumapili tulivu, Mnyama Mkubwa Mwituni, Simba Sports atashuka dimbani dhidi ya wenyeji wake Bravos ya Angola katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Katika mchezo wa kwanza, Simba akiwa nyumbani aliibuka na ushindi wa 1-0, je ataendeleza wimbi la ushindi?
Simba inazidi kuimarika hasa ikichagizwa na ongezeko la Mpanzu, huku ikiwa nafasi ya pili na alama 9 wakati wenyeji Bravo wakiwa nafasi ya 3 na alama 6. Ni mtanange wa kufa na kupona.
Ikumbukwe kuwa Bravos ameshinda mechi zake mbili akiwa nyumbani, huku Simba akitoka kushinda ugenini mechi iliyopita, patawaka moto!
Mechi itakuwa mubashara Saa 1:00 Usiku kwa masaa ya Afrika ya Mashariki.
Karibuni wote, mshuhudie wawakilishi sahihi wa kimataifa wasiotumia CALCULATOR wakielekea Robo Fainali kama ilivyoada yao!!View attachment 3199024
Na afungweSimba atafungwa kwa goli moja