OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Duuh, hii mbona kubwa kulikoAnae wa kwanza binti wa pili wa kiume hata miezi 6 hana kazaa na mtanzania anaitwa Vanessa kashera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh, hii mbona kubwa kulikoAnae wa kwanza binti wa pili wa kiume hata miezi 6 hana kazaa na mtanzania anaitwa Vanessa kashera
singida black stars kesho watakuwa na uwezo wa kuifunga yangaYaan Mechi ya Kesho ni Wazazi wa Aziz Ki VS Singida Big stars
Kakutana na mnyamwezi kakuta K ya pink labia majora zimesimama safi, siyo kavu Wala chepechepe ukipiga inatema mfuta tu.Huyu kijana karogwa sio bure
Hao wote maveterani tu wamekutanaAnae wa kwanza binti wa pili wa kiume hata miezi 6 hana kazaa na mtanzania anaitwa Vanessa kashera
singida black stars kesho watakuwa na uwezo wa kuifunga yanga
Wewe ukiingia IG andika veekashera utamuona wife material kambeba mtoto wa Azizi kiDuuh, hii mbona kubwa kuliko
wameambiwa wasikate tamaa mwenzao kawatoa kimasomasoSingle mazaz round hii watatunyoosha sana sema fresh ngoja Ramadan ipite
Sawa mkuu ila dogo kazingua ukweli usemwe tu
HandicapSio full time, hapo na mechi inaanza, Tanzania kapewa magoli mawili ya bure ya kuanza nayo
Kila kitu sio kwa kila mtuwameambiwa wasikate tamaa mwenzao kawatoa kimasomaso
Kwao kuzuri kuliko Bongo, sidhani kama uraia unaweza kuwa sababuNakubali mwamba hapa magic power imetumika kama kweli dogo hatu actii
Hiyo ilikuwa dating tu nilitua mzigo. Am still single, kwa sasa nimechagua kupendeza. Sitaki shida na mtuWewe ulivyo mchoyo! Muha wa watu kuwanunulia chakula ndugu zake kwa hela yako ulifungua mpaka uzi.
Unaonekana ni handsome sana! Unatumia hadi handcream🙌Hiyo ilikuwa dating tu nilitua mzigo. Am still single, kwa sasa nimechagua kupendeza. Sitaki shida na mtu
si angemuoa huyo vanessa?Anae wa kwanza binti wa pili wa kiume hata miezi 6 hana kazaa na mtanzania anaitwa Vanessa kashera
Sinywi pombe, sihongi! Kwa sasa ulevi wangu ni good lookingUnaonekana ni handsome sana! Unatumia hadi handcream🙌
Labda hajampendasi angemuoa huyo vanessa?
Nakubali mhasibu!Sinywi pombe, sihongi! Kwa sasa ulevi wangu ni good looking
🤣👆Mwanetu sijui vikao alikuwa hahudhulii???