The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2616481
BAHLABANE BA NTWA
SHABIKI WA MARUMO GALLANTS TOKA SIJAZALIWA
TIMU PENDWA TANZANIA MPKA SOUTH AFRICA
KUNA MCHEZAJI WA MARUMO KACHEZA ASTON VILLA ANA MECHI 7 MAGOLI 38
Loser ya mwaka jana ilikuwa na vigogo tofauti na hawa vigoigoi wanaocheza saizi.Sawa mwaka jana umecheza huko kwa loser ulifika wapi?
Simba Super CupKwa hiv ssa ndani ya Afrika masharik klabu gani inayoshirik mashindano ya hadhi kwa ngazi ya club barani Afrika?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Acha hizo weweMsimu naocheza mimi hayo mashindano kulikuwa kuna vichwa vigumu.
Timu zinazoshuka daraja kama Marumo hazikupata hiyo nafasi, ukiwemo na wewe.
Loser ya saizi ni ile grade ya mwisho kabisa
Orlando utamfananisha na Rivers?Acha hizo wewe
vichwa gani vilikuwa vigumu au hujui mpira unabadilika kutokana na mifumo ya uwekezaji
Simba super Cup itakuwa amewaanzishia Mwamed hiyoSimba Super Cup
Kwanini hamtaki kuuamini uwezo wa Yanga?Orlando utamfananisha na Rivers?
Maana huyo ndio aliwapa tickets ya kufika Nusu.
Sasa kwenye vichwa vigumu unashindwa, kwenye vilaini umefurushwa upelekwe wapi wewe?Msimu naocheza mimi hayo mashindano kulikuwa kuna vichwa vigumu.
Timu zinazoshuka daraja kama Marumo hazikupata hiyo nafasi, ukiwemo na wewe.
Loser ya saizi ni ile grade ya mwisho kabisa
Boli kwishinei sasa mmegeukia ubishi na visaNa vitu vidogo havikuwa kwenye mkakati wa Club
Hata nyie ambition yenu ilikuwa kufika makundi ya Club Bingwa ila ndoto ikayeyuka.
Kichwa kigumu chenu ndio alikuwa ni Berkane, Tp Mazembe, Asec Mimosa, Pyramid, Orlando pirates. Wote hao chali. Wameoneshwa kuwa walikuwa wanawaonea vilaza msimu uliopita.Msimu naocheza mimi hayo mashindano kulikuwa kuna vichwa vigumu.
Timu zinazoshuka daraja kama Marumo hazikupata hiyo nafasi, ukiwemo na wewe.
Loser ya saizi ni ile grade ya mwisho kabisa
Kumbe wewe dawa yako vigogo [emoji23][emoji23]Loser ya mwaka jana ilikuwa na vigogo tofauti na hawa vigoigoi wanaocheza saizi.
Mlipoingia nyinyi ndio mmefanya michuano ionekane ya kipumbavu zaidi
Kila anae kugonga wewe ni kigogo basi Juaneng Galaxy, Azam, UD Songo, Orlando pirates ni vigogoMsimu naocheza mimi hayo mashindano kulikuwa kuna vichwa vigumu.
Timu zinazoshuka daraja kama Marumo hazikupata hiyo nafasi, ukiwemo na wewe.
Loser ya saizi ni ile grade ya mwisho kabisa
Wewe utavyoamua kuitafsiriSimba super Cup itakuwa amewaanzishia Mwamed hiyo
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app