FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Yanga akishinda leo atastahili sifa kubwa sana maana Kamati zote za Uchawi nchi hii zinahangaika kuikwamisha Yanga chini ya uratibu wa Msimbazi
Umejuaje mkuu au na ww uko kwenye kamati hizi za ushindi
 
Jamaa ana chuki na Yanga huyo kuliko hata anaemmegea she wake [emoji1]
π‘΅π’π’Žπ’‚ 𝒔𝒂𝒏𝒂, π’•π’–π’π’‚π’Žπ’‹π’–π’‚
 
Halafu sisi wabongo tupo kama mazombii hivi eti unakuta uwanja umejaa balaa halafu watu wapo kimyaaa wanasubiri goli ndipo washangilie na kutoa hamasa. Ina maana tusipofunga goli mtu akiwa nje ya uwanja hawezi kujua kama uwanjani kuna watu.
 
Yanga akishinda leo atastahili sifa kubwa sana maana Kamati zote za Uchawi nchi hii zinahangaika kuikwamisha Yanga chini ya uratibu wa Msimbazi
Dah!....kwani anacheza na Msimbazi ?
 

Attachments

  • ...Ah!....jpg
    ...Ah!....jpg
    26.3 KB · Views: 2
mafsa ubashiri hatuna upande ss ni maslahi kwanza. tumekaa kikao chetu tunaona ushindi kwa wachora ramani za makaz wana jangwani
 
Jamaa ana chuki na Yanga huyo kuliko hata anaemmegea she wake [emoji1]
Muangalie huyu halafu niambie ni kiasi gani cha chuki ambacho amekionesha kunizidi mimi

Then nitapima kiwango chako cha unafiki iwapo utashindwa kuona chuki kupitia hii picha
1685273483973.png
 
My Prediction of Tanga starting XI
1.Diarra
2.Djuma
3.Lomalisa
4.Bacca
5.Mwamnyeto
6.Bangala
7.Moloko
8.Sureboy
9.Mayele
10.Mudathiri
11.Musonda
Kwa mikakati ya sare kinatosha
 
Back
Top Bottom