Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Hata Mimi Nina wasiwasi sana mtani hii mvua imekuja na ujinga wake hiiKwa mvua hii sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi Nina wasiwasi sana mtani hii mvua imekuja na ujinga wake hiiKwa mvua hii sijui
Halafu haikati ndo kwanza inapeleka moto..Hata Mimi Nina wasiwasi sana mtani hii mvua imekuja na ujinga wake hii
Inaonekana mnaitaka sare kwa nguvu sana mpaka na mvua mmeletaHata Mimi Nina wasiwasi sana mtani hii mvua imekuja na ujinga wake hii
Yaani imeaacha kunyesha Jana inanyesha Leo harafu Yanga tuna mkosi sanma na siku za JumapiliHalafu haikati ndo kwanza inapeleka moto..
kwani chura na mvua c sawa pete na kidole was was wa niniKwa mvua hii sijui
Ushauvaa umbumbumbu wako Sasa yaani huwezi kuficha ujinga wako hata siku MojaInaonekana mnaitaka sare kwa nguvu sana mpaka na mvua mmeleta
Simba hao hawataki Yanga ashindeKwa mvua hii sijui
mshaanza kutafuta sababuSimba hao hawataki Yanga ashinde
mzee mgunda kakubali kuwa mzalendo kama tu ilikuwa lazima yeye atukanwe na ally kamwe ili yanga ishinde kuiletea taifa heshima bac liweSimba hao hawataki Yanga ashinde
Sababu zipo tu mbona:mshaanza kutafuta sababu
Wabatili wengine bana..ah ah, sorry nimekosea, watabiri wengine bana. Sijui ni wachambuzi au ni wafiambuzi
Kanuni inakataa, huwa hakuna Moyo wa rangi hiyo labda Kabichi au FenesiWhere is my Kalpana, leo nakupa li Moyo lote. Angalau uungane nasi. Nimelihamisha limoyo kwa muda kutoka kwa Bantu Lady , kuja kwako.
View attachment 2638102
Muite shosti bitozi muite mpoki na jotiSababu zipo tu mbona:
1. Mvua ya Simba
2. Mgunda kumlalamikia Kamwe
3. Kuibuka issue ya Fei toto ili kuichanganya Yanga
Jiangalie mkuu, unaweza ukakuta una Gu-Moyo gwa hivyo😃Kanuni inakataa, huwa hakuna Moyo wa rangi hiyo labda Kabichi au Fenesi