FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Ushindi wa Timu ya Africa ni halisi, maana Vikwazo ni vingi. Hivi Mashabiki wa Liverpool ujawa na ujinga huu unaoonyeshwa na baadhi ya mashabiki wasiojitambua wa Simba wakati Man Utd inapocheza na AC Milan kwenye Champions league??
Umewahi kuona shabiki wa Liverpool analazimishwa kuishabikia man u ikiwa inacheza champions? Nyie Yanga mnacheza ila kutwa kuisema Simba. Sasa hapo wa kwanza mwenye tatizo ni nani?
 
Mwanza kutakuwa na warembo wa yanga tuu, wee katulie sehemu wamejazana wanaangalia ball, muhimu kibunda kiwepo
Kibunda shazi bablai na hizi tarehe tena mbona Yanga kama walifanya timing nzuri kuingia fainali hizi tarehe 🤣
 
Bila shaka leo ndo ile siku Timu ya Wananchi inaenda kuandika Historia nyingine kabisa.

Timu bora tunayo, uwezo wa kumfunga Mwarabu pia tunao kikubwa wachezaji wetu kujitoa na kutokukamia sana mechi ili tuweze kuimaliza game kwa mkapa.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
 
Huu ni mwaka wa visasi kwa timu zote ambazo zimeifunga Yanga siku za nyuma.

Nawakumbusha tu Yanga hii ni colabo la AS Vita, Asec mimosa na Taifa stars, hii siyo Yanga ya kina Ditram Nchimbi, Molinga na Yikpe huku bechi la ufundi Mwinyi Zahera na vikaptula vyake, unapoangalia Yanga hii usiwe na pressure kabisa.
Ndio hiyo hiyo iliyotolewa Club Bingwa au ile ilikuwa ni ya kina Yikpe?
 
Naaam ni siku nyingine njema Mungu kaifanya, Siku kubwa zaidi kuwahi kutokea kwenye football hapa Tanzania. Yanga kama kawaida kama alivoimba Pepe kale kua Yanga Afrika kimataifa hakika Leo kaburi lake pale Congo litatikisika pale Fistoni kama si Moloko au Kushinda atakapofunga Goli muhimu sana.

Vimba mwananchi Leo ni siku ya furaha Sana. Lazima USM Alger apigwe kama Ngoma.
Mkongwe hawezi kufunzwa utamaduni na mtoto..
#Daimambelenyumamwiko

[emoji169][emoji172]
 
E550C5A3-CF60-467D-91F3-360A3565DDD6.jpeg
 
Back
Top Bottom