TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ligi imeisha ama inaendelea?Nyumbani Katika msimamo wa Algerian Ligue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ligi imeisha ama inaendelea?Nyumbani Katika msimamo wa Algerian Ligue
Na alikuwa naye wakati wa kumalizia shughuli usiku wa leo pale Taifa japo umeenda mbali sana kutaja kafara ya Binadamu.Na kama linahitajika kafara la roho ya mtu basi wamtowe Manara tu itapendeza zaidi.
Ushindi wa Timu ya Africa ni halisi, maana Vikwazo ni vingi. Hivi Mashabiki wa Liverpool ujawa na ujinga huu unaoonyeshwa na baadhi ya mashabiki wasiojitambua wa Simba wakati Man Utd inapocheza na AC Milan kwenye Champions league??kichwani
Ngoja mechi mbili hizi ziieshe lazima nimrudie huyu Shabiki asiyejitambua wa Simba.kutaja
Kaka hii kauli huwa ni ya upande ule, isije kutuletea balaa, naheshimu mawazo yako na kila lenye heri Wananchi.Kwa Mkapa hatoki Mtu ,watapigwa kama ngoma MANDONGA MTU KAZI.
Leo kwa Utopolo huchomoki......umeshaelekea kibla.View attachment 2637503
Kila la kheri timu yangu pendwa toka utotoni
USM ALGER NA MAKOMBE NI SAWA NA MADRID
HALLA USM ALGER
USM ALGER 2
UTO 0
Yanga 3 _USM 1Leo ndio leo hatimaye imefika siku muhimu kwa wapenda soka barani Africa
Ni fainali ya mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Africa kwa msimu wa 2022/2023 kati ya Yanga na USM Alger
Mechi hii itachezwa mnamo saa 10 jioni kwa saa za Africa mashariki kwenye dimba la Benjamin Mkapa.
Timu hizi katika historia zimeingia fainali kwa mara ya kwanza, na pia ziliwahi kukutana kwenye msimu wa 2018 ambapo Yanga alifungwa kwa hiyo mechi hii inaweza kuwa ya kisasi
Nini kitatokea?
Karibuni kwa live updates kuanzia mwanzo, kati na hata mwisho wa mtanange huu muhimu!
Kwa wanaofuatilia kwenye Tv.. Azam (zbc 2) na Dstv ( Chaneli namba225) watarusha mubashara mechi hii
Sio mbaya Mtani hiyo hiyo ya shingo upande inatosha. 😅Sawa. Natoa baraka kwa shingo upande 🤒.
Bantu Lady, Shadeeya 👋🏽
Mtani huyo jamaa alishawahi kujiita Marumo pia bado akaangukia pua. 🤣🤣Leo kwa Utopolo huchomoki......umeshaelekea kibla.
Video za mechi zote za klabu hii ya kutoka Algeria katika michuano ya Bara la Africa ya CAFCC ili Tujikumbushe jinsi USM Alger's Ilivyofanikiwa kufika finali.
USM Alger's Road to 2023 #TotalEnergiesCAFCC Finals
Source : CAF TV
Nyumbani Katika msimamo wa Algerian Ligue 1 timu ya USM Alger's ipo nafasi ya nane katika ligi ya (daraja) la kwanza nchi Algeria .
JEDWALI YA MSIMAMO LIGI YA NYUMBANI ALGERIA
Club MPMatches played WWins DDraws LLosses PtsPoints GFGoals scored GAGoals against GDGoal difference Last 5Last 5 matches 6 El Bayadh 23 9 6 8 33 24 18 6 Win
Loss
Win
Win
Draw 7![]()
JS Saoura 23 9 6 8 33 25 20 5 Loss
Win
Draw
Loss
Loss 8![]()
USM Alger 21 9 5 7 32 25 17 8 Loss
Loss
Win
Loss
WinView attachment 2637453