Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
2-2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁View attachment 2637503
Kila la kheri timu yangu pendwa toka utotoni
USM ALGER NA MAKOMBE NI SAWA NA MADRID
HALLA USM ALGER
USM ALGER 2
UTO 0
[emoji16][emoji16]Watanzania tuacheni USIMBA na UYANGA, twendeni tukaishangilie USM ALGER
[emoji23][emoji23][emoji23]
Umekaa unawaza kuanzisha uzi [emoji134] yani miuto hainaga akili hata moja
na leo yanga atapigwa tenaLeo ndio leo hatimaye imefika siku muhimu kwa wapenda soka barani Africa
Ni fainali ya mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Africa kwa msimu wa 2022/2023 kati ya Yanga na USM Alger
Mechi hii itachezwa mnamo saa 10 jioni kwa saa za Africa mashariki kwenye dimba la Benjamin Mkapa.
Timu hizi katika historia zimeingia fainali kwa mara ya kwanza, na pia ziliwahi kukutana kwenye msimu wa 2018 ambapo Yanga alifungwa kwa hiyo mechi hii inaweza kuwa ya kisasi
Nini kitatokea?
Karibuni kwa live updates kuanzia mwanzo, kati na hata mwisho wa mtanange huu muhimu!
Kwa wanaofuatilia kwenye Tv.. Azam (zbc 2) na Dstv ( Chaneli namba225) watarusha mubashara mechi hii
nakweli watapigwa uhakika leoFuraha ya wanyama Leo nikuona utopolo wanapasuka ila sio uuungwana kombe litabaki bongo tuwape sapoti.
𝙰𝚞 𝚜𝚒𝚘na leo yanga atapigwa tena
Tatizo hawa jamaaa hata kama ukiwasapoti bado wanakutambia na kutunanga so acha wakung'utwe tu.nakweli watapigwa uhakika leo
Simba acheni mambo yenu......shangilieni Watanzania wenzenu....😂😂😂Mvua imenyesha! Siku ni jumapili! Nimekaa paleeeeee [emoji1787]
Umejitahidi kuota ndoto wananchi
😂 😂 Kwani yule dogo ally Kamwe kasimamishwa kuishangilia Yanga kwa kutukana kocha wa guvu moya?Simba acheni mambo yenu......shangilieni Watanzania wenzenu....😂😂😂
💪🏽💪🏽Maendeleo hayana chama, kila la heri Yanga!! Tunasimama pamoja kama Taifa kwa hiliView attachment 2637427